Utabiri wangu kuelekea pambano la Yanga Sc Vs Simba Sc

Amin in Shaa Allah mungu ajaalie maana nina hali mbaya watu wangu ninaowakubali wanaumia hovyo hovyo tu!
 
Kwa post hii maana yake simba yote mbovu..
 
Simba wanakushindeni hata hao wadada zenu jamani?
Kila mkicheza na Yangayangu mnawazidi umiliki wa mpira.
Tatizo lenu mnacheza kama wenye vitambi huki mkiamini mtawafunga Yanga.
Wenzenu wanapigana na kupata matokeo.

Yaaani mkifungwa safari hii, na Yanga na kwakuwa tunajua mna uwezo mkubwa kuwapita. Hapo watabaki wachezaji sita tu wa ndani na wa nje wanne.
Kwanini hamjifunzi kwa MANULA.
kama wote mngecheza kama MANULA, msingefedheheka.
Hongera sana MANULA.
Sisi mda hui bado tuko kwenye kikao cha kuwajadiri.
Kama huwezi kukaba, kushambulia kwa kasi, kujitolea, na kubaki kutembea uwanjani, utapoisha mkataba wako ujue ni kwaheri
 
Mkuu uandishi huwa unanipa tabu sana kuuelewa.
 
Kwa nini unasema wote hao hawapo!? Labda balama tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mechi ijayo, mtabiri wa hali, maana kuna utabiri wa aina nyingi.
Ila kwa mtabiri wa kuangalia hali ya mchezo yaani Situation.

Yanga ataifunga Simba.

Kwakuwa

1. Yanga anaitegemea mechi hiyo pekee ili apate uwakilishi wa kimataifa mwakani.
2. Yanga itaingia kwa kufuata fumula ile ile iliyoifunga Simba walipokutana mara ya mwisho, na pengine wameiboresha zaidi.
3. Yanga wakifungwa wana cha kupoteza ila simba hawana chankupoteza tayali wana kitu mkononi.
4. Yanga wanaingia mchezoni kwa kujiamini kabisa huku wakimtegemea mchezaji wao mahili kabisa Morrison. Morrison ameongeza morale ya timu.
5. Mfumo wanaoutumia Yanga wa pasi ndefu na kushambulia kwa kasi huwa unafanikiwa siku zote ndio maana wanaweza kuifunga Simba hata ikiwa bora.

Simba hali ya ushindi ipo chini
Kwakuwa.

1. Tayari mwakani wanawakilisha kimataifa hivyo wanauhakika wa kupanda ndege.
2. Simba itaingia uwanjani kwa mchecheto wa kuogopa kufungwa tena na Yanga, na presha ya mashabiki wao.
3. Washambuliaji mahili wa Simba huwa hawaifungagi Yanga. John Boko toka ajiunge na Simba hajawahi kuifunga Yanga, na mechi ikiyopita hakupiga hata shuti moja on taget, mabeki wa Yanga anajua kumkaba.
Kagere toka aje Simba kaifunga Yanga goli moja tu tena la kichwa.
Sioni Mshambuliaji wa Simba wa kuifunga Yanga kwa sasa.
3. Mara nyingi makipa wa Yanga wanakuwa bora sana katika mechi yao na Simba, kama mnakumbuka jinsi Beno na Metacha walivyo daka ktk dabi.
4. Mfumo wa Simba wa pasi fupi fupi unashindwa kuifunga Yanga ambao wanacheza kimapambano zaidi. Simba wanapaswa kubadili mfumo wao kwani wanapo pasiana wenzao wanapumzika na kuvizia, wakipata mpira wanashambulia kwa juhudi zote na kupata matokeo. Angalia ile mwchi ya 2 : 2.
5. Simba wameshindwa kuifunga Yanga katika mechi tatu zilizopita, hivyo wanaonekana kuwa mbinu zao zinashindwa kupenya ngome ya Yanga.

Wabillahi Wataafiq.
 
Sure
 
Inshallah! Sisi Yanga Timu ya Wananchi tunakwenda kusababisha matatizo ndani ya klabu ya Simba!
 
Bmechi hii ingekuwa rahisi kama Simba angekuwa bingwa lakini hajafungwa na yanga lakini kitendo cha kufungwa na yanga kilimpa hasira kubwa ndio maana walimfunga Azam bila hivyo wangemwachia Azam.
Yanga wataingia na presha ya kupata matokeo ili wapate uwakilishi na pia wanajua Simba wanataka kulipa kisasi

qUOTE
="Che mittoga, post: 35977080, member: 425160"]
Kwa mechi ijayo, mtabiri wa hali, maana kuna utabiri wa aina nyingi.
Ila kwa mtabiri wa kuangalia hali ya mchezo yaani Situation.

Yanga ataifunga Simba.

Kwakuwa

1. Yanga anaitegemea mechi hiyo pekee ili apate uwakilishi wa kimataifa mwakani.
2. Yanga itaingia kwa kufuata fumula ile ile iliyoifunga Simba walipokutana mara ya mwisho, na pengine wameiboresha zaidi.
3. Yanga wakifungwa wana cha kupoteza ila simba hawana chankupoteza tayali wana kitu mkononi.
4. Yanga wanaingia mchezoni kwa kujiamini kabisa huku wakimtegemea mchezaji wao mahili kabisa Morrison. Morrison ameongeza morale ya timu.
5. Mfumo wanaoutumia Yanga wa pasi ndefu na kushambulia kwa kasi huwa unafanikiwa siku zote ndio maana wanaweza kuifunga Simba hata ikiwa bora.

Simba hali ya ushindi ipo chini
Kwakuwa.

1. Tayari mwakani wanawakilisha kimataifa hivyo wanauhakika wa kupanda ndege.
2. Simba itaingia uwanjani kwa mchecheto wa kuogopa kufungwa tena na Yanga, na presha ya mashabiki wao.
3. Washambuliaji mahili wa Simba huwa hawaifungagi Yanga. John Boko toka ajiunge na Simba hajawahi kuifunga Yanga, na mechi ikiyopita hakupiga hata shuti moja on taget, mabeki wa Yanga anajua kumkaba.
Kagere toka aje Simba kaifunga Yanga goli moja tu tena la kichwa.
Sioni Mshambuliaji wa Simba wa kuifunga Yanga kwa sasa.
3. Mara nyingi makipa wa Yanga wanakuwa bora sana katika mechi yao na Simba, kama mnakumbuka jinsi Beno na Metacha walivyo daka ktk dabi.
4. Mfumo wa Simba wa pasi fupi fupi unashindwa kuifunga Yanga ambao wanacheza kimapambano zaidi. Simba wanapaswa kubadili mfumo wao kwani wanapo pasiana wenzao wanapumzika na kuvizia, wakipata mpira wanashambulia kwa juhudi zote na kupata matokeo. Angalia ile mwchi ya 2 : 2.
5. Simba wameshindwa kuifunga Yanga katika mechi tatu zilizopita, hivyo wanaonekana kuwa mbinu zao zinashindwa kupenya ngome ya Yanga.

Wabillahi Wataafiq.
[/QUOTE]
 
Amiin
 
Ile combinesheni niliipenda aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…