Utabiri wangu kuelekea pambano la Yanga Sc Vs Simba Sc

Utabiri wangu kuelekea pambano la Yanga Sc Vs Simba Sc

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Naona mag nyingi sana moia tinafanyaje game ya watani n ngumu ola mpaka kesho saa moja usiku else ibadilike

Simba vs Yanga

Simba mpaka sasa inaonekana ina asilimia 90% ya kushinda

Yanga wanaweza badili haya matokeo kwenda win ama drw kwa kupitia nguvu ile ile ya ahadi na pesa

Kama awatohaidiwa chochote wale wazee wa bet weka simba win na mabao zaidi ya matatu

Wafungaji wa simba

Boco

Beki mmoja huyu akitajwa wameumia sisemi

Mfungaji bora mpaka sasa

Wale wa watani wao kama wata drw

Morrison-huyu kama atacheza

2-beki wa yanga huyu kabeba mzigo wote wa ushindi

3...........

Hawa mabeki wamebeba mpaka sasa uamuzi wa ushindi wa simba ama yanga

Penalty awarded anytym

Hili tutarajia kama kutatokea fujo katika wachezaji moja ya timu zetu........

Otherwise

Kama GSM watatangaza dau Simba wanaweza kulia hii mechi kuanzia benchi la ufundi mpaka viongozi wasiamini kilichotokea
 
NAONA MAG NYINGI SANA MOIA TINAFANYAJE GAME YA WATANI N NGUMU OLA MPAKA KESHO SAA MOJA USIKU ELSE IBADILIKE


SIMBA VS YANGA
SIMBA MPAKA SASA INAONEKANA INA ASILIMIA 90% YA KUSHINDA

YANGA WANAWEZA BADILI HAYA MATOKEO KWENDA WIN AMA DRW KWA KUPITIA NGUVU ILE ILE YA AHADI NA PESA

KAMA AWATOHAIDIWA CHOCHOTE WALE WAZEE WA BET WEKA SIMBA WIN NA MABAO ZAIDI YA MATATU

WAFUNGAJI WA SIMBA
BOCO
BEKI MMOJA HUYU AKITAJWA WAMEUMIA SISEMI
MFUNGAJI BORA MPAKA SASA

WALE WA WATANI WAO KAMA WATA DRW
MORRISON-HUYU KAMA ATACHEZA
2-BEKI WA YANGA HUYU KABEBA MZIGO WOTE WA USHINDI
3...........

HAWA MABEKI WAMEBEBA MPAKA SASA UAMUZI WA USHINDI WA SIMBA AMA YANGA

PENALTY AWARDED ANYTYM
HILI TUTARAJIA KAMA KUTATOKEA FUJO KATIKA WACHEZAJI MOJA YA TIMU ZETU........

OTHERWISE
KAMA GSM WATATANGAZA DAU SIMBA WANAWEZA KULIA HII MECHI KUANZIA BENCHI LA UFUNDI MPAKA VIONGOZI WASIAMINI KILICHOTOKEA
Hakuna Cha utabiri hapa...
 
Mpwa sema kweli tuu, kwa kikosi tulicho nacho kwa sasa tuna hali mbaya sana, na nitashangaa kama simba watashindwa kutufunga, siku hiyo saa8 tuu mchana nishalala na juma3 nafanya kila namna siendi kazini, j4 nikikutana na mashabiki wa simba machungu yanakuwa yameisha pungua….
 
Mbumbumbu hii ndio sifa yenu njooni mtabiri.

Sisi tunaenda kupambana na nina hakika ile saa ya kutoka Uwanjani kuna watu watakuwa wanatuangalia namna hii. 😂

IMG-20191204-WA0001.jpg
 
NAONA MAG NYINGI SANA MOIA TINAFANYAJE GAME YA WATANI N NGUMU OLA MPAKA KESHO SAA MOJA USIKU ELSE IBADILIKE


SIMBA VS YANGA
SIMBA MPAKA SASA INAONEKANA INA ASILIMIA 90% YA KUSHINDA

YANGA WANAWEZA BADILI HAYA MATOKEO KWENDA WIN AMA DRW KWA KUPITIA NGUVU ILE ILE YA AHADI NA PESA

KAMA AWATOHAIDIWA CHOCHOTE WALE WAZEE WA BET WEKA SIMBA WIN NA MABAO ZAIDI YA MATATU

WAFUNGAJI WA SIMBA
BOCO
BEKI MMOJA HUYU AKITAJWA WAMEUMIA SISEMI
MFUNGAJI BORA MPAKA SASA

WALE WA WATANI WAO KAMA WATA DRW
MORRISON-HUYU KAMA ATACHEZA
2-BEKI WA YANGA HUYU KABEBA MZIGO WOTE WA USHINDI
3...........

HAWA MABEKI WAMEBEBA MPAKA SASA UAMUZI WA USHINDI WA SIMBA AMA YANGA

PENALTY AWARDED ANYTYM
HILI TUTARAJIA KAMA KUTATOKEA FUJO KATIKA WACHEZAJI MOJA YA TIMU ZETU........

OTHERWISE
KAMA GSM WATATANGAZA DAU SIMBA WANAWEZA KULIA HII MECHI KUANZIA BENCHI LA UFUNDI MPAKA VIONGOZI WASIAMINI KILICHOTOKEA
Pumba tupu. Tako moko fc.
 
Mpwa sema kweli tuu, kwa kikosi tulicho nacho kwa sasa tuna hali mbaya sana, na nitashangaa kama simba watashindwa kutufunga, siku hiyo saa8 tuu mchana nishalala na juma3 nafanya kila namna siendi kazini, j4 nikikutana na mashabiki wa simba machungu yanakuwa yameisha pungua….
Kwani msimu huu kipindi tunapindua mbilimbili yanga ilikuwa bora kuliko Simba kipindi tunawakanda moja bila je? Tukiweka ushabiki pembeni misimu hii miwili Simba ana kikosi bora hakuna anayekataa ila hii ni derby na sisi ndio wananchi tunajua jinsi ya kuzicheza hizi acha shobo na unyonge mpira mwingi huwa wanawapigia haohao wajinga wenzao sio sisi zile game 2 nina hakika we mwenyewe uliona hakuna chama wala Mkude so relax we are Dar Young Africans!
 
Fraga alikuwa anabaniwa nafikiri utopolo uchawi wao ilikuwa kumloga kocha wa simba asipange kikosi vizuri safari hii tutampangia kikosi halafu tuone huo unaoitwa uchawi kama utafanya kazi
 
Naona mag nyingi sana moia tinafanyaje game ya watani n ngumu ola mpaka kesho saa moja usiku else ibadilike

Simba vs Yanga

Simba mpaka sasa inaonekana ina asilimia 90% ya kushinda

Yanga wanaweza badili haya matokeo kwenda win ama drw kwa kupitia nguvu ile ile ya ahadi na pesa

Kama awatohaidiwa chochote wale wazee wa bet weka simba win na mabao zaidi ya matatu

Wafungaji wa simba

Boco

Beki mmoja huyu akitajwa wameumia sisemi

Mfungaji bora mpaka sasa

Wale wa watani wao kama wata drw

Morrison-huyu kama atacheza

2-beki wa yanga huyu kabeba mzigo wote wa ushindi

3...........

Hawa mabeki wamebeba mpaka sasa uamuzi wa ushindi wa simba ama yanga

Penalty awarded anytym

Hili tutarajia kama kutatokea fujo katika wachezaji moja ya timu zetu........

Otherwise

Kama GSM watatangaza dau Simba wanaweza kulia hii mechi kuanzia benchi la ufundi mpaka viongozi wasiamini kilichotokea
Huu ni utabiri au matamanio
 
Kumbuka Kuna baba yenu BM aliwapiga Cha Nguruwe[emoji23][emoji125]
Mimi ni Yanga huyo BM bila pale kati kuwa na watu atakifanya nini? Tshishimbi hayupo, Niyonzima hayupo Balama hayupo mzee wa krosi Juma nae hatakuwepo sijui wenzangu huu ujasiri mnautoa wapi mm imani yangu ndogo sana ple kati awepo Tshishimbi, Niyonzima hata Balama asipowepo kuna Fey,Banka fresh Simba game zote mbili tulimshika pale kati timu yoyote ikikushika kati umeisha sioni hawa watoto akina fey peke yao watakachofanya pale kati tuombe mungu!
 
kile kikosi kilichompigia Azam kandanda kilirudishwe. Fraga na Mkude wakinukishe pale kati asikatize Utopolo yeyote. Daa Kapombe weee roho inauma
Kocha ampange Gadieli Maiko nafasi ya Kapombe. Shamte mbele ya Yanga hawezi kumudu.
Kuumizwa kwa Kapombe huenda ulikuwa ni mpango mkakati uliotekelezwa na Yanga, nje ya Uwanja.
Kwani aliyemuumiza Kapombe katika mechi ileile alitaka kumwumiza Chama katika majaribio mawili lakini Chama alimruka.
Wakuumizwa walikuwa ni Kapombe na Chama na huyo Mamluki.
Hakuna namna Jumapili lazima wapigwa, liwe Jua iwe Mvua.
Tumpangie kikosi Kocha wa Simba, nina uhakika Matola atasoma hapa.
Hawa waanze.

1. Manula (azungumze na wachezaji)
2. Gadieli ( akabe sana na kushambulia)
3. Hussein (atulie alijifunga goli la pili ile 2,2)
4. Nyoni ( afanye mazoezi ya spidi ni mzito)
5. Wawa (awapange mabeki)
6. Mkude ( awe makini aache rafu, alitukost)
7. Dilunga ( akabe pia)
8. Fraga (akabe pia)
9. Bocco ( ajiamini aache mchecheto ktk dabi)
10. Chama (atake kufunga anaweza)
11. Kahata ( pasi za mwisho na kufunga)

NB. Wachezaji wote wakabe na kushambulia, wakifika langoni kwanza lazima watazame goli au wenzao ili kuamua kupiga golini au kumpasia mfungaji mwenye kukaa ktk nafasi nzuri ( Mzamilu alitukost kwa kumsindiza Barama kwa macho)
Mabeki haraka warudi nyuma baada ya kunyang'anywa mpira.
Mabeki wahakikishe wanaondoe mipira yote ya juu Kross na Kona.

Yanga watakuja na Mbinu ya kulinda goli pasi ndefu na kushambulia kwa haraka kwa kustukiza, na kujiangusha kwenye mita kuanzia 25, ili wapate faulo au penati apige Morrison.

Mpira uchezwe kasi mwanzo mwisho Simba wana pumzi kupita Yanga. Mchezaji akiwa nje ya mchezo ifanyike Sub haraka.
Bocco achangamke, anacheza kwa woga na Yanga, anawaogopa mabeki wakati anawazidi nguvu na ujanja.
Wachezaji wacheze kwa kujituma dakika zote na sio kutembea uwanjani, ukichoka lala chini utolewe iingie nguvu mpya.

Sub
1. Beno
2. Kagere
3. Maquissone
4. Kenedi
5.Mlipili
6. Shibob
7. Kanda
8.Shamte

Karibu kwa maoni na ushauri
 
MIMI KAMA MDAU WA SOKA LA HAPA TZ NNA MAONI YAFUATAYO

Yanga wakiwa na pesa ya kutosha kuwekeza nje ya uwanja simba kupata matokeo huwa ni ngumu sana,naona kabisa dalili za mnyama kufa tena.

Ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom