Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Naona mag nyingi sana moia tinafanyaje game ya watani n ngumu ola mpaka kesho saa moja usiku else ibadilike
Simba vs Yanga
Simba mpaka sasa inaonekana ina asilimia 90% ya kushinda
Yanga wanaweza badili haya matokeo kwenda win ama drw kwa kupitia nguvu ile ile ya ahadi na pesa
Kama awatohaidiwa chochote wale wazee wa bet weka simba win na mabao zaidi ya matatu
Wafungaji wa simba
Boco
Beki mmoja huyu akitajwa wameumia sisemi
Mfungaji bora mpaka sasa
Wale wa watani wao kama wata drw
Morrison-huyu kama atacheza
2-beki wa yanga huyu kabeba mzigo wote wa ushindi
3...........
Hawa mabeki wamebeba mpaka sasa uamuzi wa ushindi wa simba ama yanga
Penalty awarded anytym
Hili tutarajia kama kutatokea fujo katika wachezaji moja ya timu zetu........
Otherwise
Kama GSM watatangaza dau Simba wanaweza kulia hii mechi kuanzia benchi la ufundi mpaka viongozi wasiamini kilichotokea
Simba vs Yanga
Simba mpaka sasa inaonekana ina asilimia 90% ya kushinda
Yanga wanaweza badili haya matokeo kwenda win ama drw kwa kupitia nguvu ile ile ya ahadi na pesa
Kama awatohaidiwa chochote wale wazee wa bet weka simba win na mabao zaidi ya matatu
Wafungaji wa simba
Boco
Beki mmoja huyu akitajwa wameumia sisemi
Mfungaji bora mpaka sasa
Wale wa watani wao kama wata drw
Morrison-huyu kama atacheza
2-beki wa yanga huyu kabeba mzigo wote wa ushindi
3...........
Hawa mabeki wamebeba mpaka sasa uamuzi wa ushindi wa simba ama yanga
Penalty awarded anytym
Hili tutarajia kama kutatokea fujo katika wachezaji moja ya timu zetu........
Otherwise
Kama GSM watatangaza dau Simba wanaweza kulia hii mechi kuanzia benchi la ufundi mpaka viongozi wasiamini kilichotokea