Utabiri wangu mechi ya ngao ya jamii kati ya Yanga na Simba

Utabiri wangu mechi ya ngao ya jamii kati ya Yanga na Simba

Mechi Kati ya hawa watu haijawahi kutabilika! Ila mkumbuke moja ya wadhamini wa hizi timu ni betting company! Hivyo yasiyowezekanika yanaweza kuwezanishwa!
 
Hatumuwazi kabisaaaa, Chama yupo sahiv, atalambishwa nyasi, unaikumbuka eeeeeh??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chama hamna kitu pale sasa hivi, anatembelea nyota yake ya zamani kama Boko.
 
giphy.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana vipi matokeo
 
Back
Top Bottom