Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
- Thread starter
- #21
Manula kashapona kidole alipojikata na kioo? Hatutaki mtoe visingizio kesho.Match hii haizidi goal 1, litafungwa hilo tyuuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manula kashapona kidole alipojikata na kioo? Hatutaki mtoe visingizio kesho.Match hii haizidi goal 1, litafungwa hilo tyuuh.
Usinichonganishe na mizimu mkuu, nafuata masharti.Weka sasa hivi ili uweke ya wachezaji ambao hawatacheza kabisa.
Anaweza kuwepo kakolanyaa.Manula kashapona kidole alipojikata na kioo? Hatutaki mtoe visingizio kesho.
Mshikaji wake wa damu kabisa, Feisal Salum atakuwepo pia.Anaweza kuwepo kakolanyaa.
Kwa ule mpira mliocheza na vipers .kwa Simba mtakula 3+
Toka wameanza kusema hao wezi simba ananyanduliwaga tuHuu mwezi kwa wale wataalam wa nyota na unajimu wanasema huu ni msimu wa Simba
Yaani kesho kuna mawili, yanga ishinde au simba ifungwe.Penalty
Simba anashinda
Hatumuwazi kabisaaaa, Chama yupo sahiv, atalambishwa nyasi, unaikumbuka eeeeeh??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshikaji wake wa damu kabisa, Feisal Salum atakuwepo pia.
Chama hamna kitu pale sasa hivi, anatembelea nyota yake ya zamani kama Boko.Hatumuwazi kabisaaaa, Chama yupo sahiv, atalambishwa nyasi, unaikumbuka eeeeeh??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaaah wapiii, leo zipo kama 3 hiviMatch hii haizidi goal 1, litafungwa hilo tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo utaona sasa, weraaaaaah.Chama hamna kitu pale sasa hivi, anatembelea nyota yake ya zamani kama Boko.
HazizidiAaaah wapiii, leo zipo kama 3 hivi
Mshana vipi matokeo