Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri umebumaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Bora uliwapa matumaini. Mikia ni rahisi sana kuwadanganya. Ndio anachofanya manara. Anawaaminisha timu yao ina uwezo wa kukipiga na Barcelona. Wanajaa kichwa. Huu uzi uliwaongezea libichwa simbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji617][emoji808]
Hapo vipi?Tuendelee kusubiri.Baba kubaliana tu kiukweli kuwa Wewe shabiki wa Simba mahaba yalikuzidi ukashindwa kutafsiri nyota vizuri.Kiupande ulikuwa sawa kuwa Nyota ya simba inang'aa mana simba wameposess kuliko Yanga lakin ilipokuja kutafsiri upande wa Yanga mahaba niue na sasa Yamekuua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kuwa mpole
Bora uliwapa matumaini. Mikia ni rahisi sana kuwadanganya. Ndio anachofanya manara. Anawaaminisha timu yao ina uwezo wa kukipiga na Barcelona. Wanajaa kichwa. Huu uzi uliwaongezea libichwa simbwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom