barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ina maana hata kamanda wa Monduli hatokuwa na chance?? Hizi dharau sasa!!2025 mtifuano utakua mkubwa sana na wa aina yake, suluhisho itakua kwa mwanamke! Na Atashinda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hata kamanda wa Monduli hatokuwa na chance?? Hizi dharau sasa!!2025 mtifuano utakua mkubwa sana na wa aina yake, suluhisho itakua kwa mwanamke! Na Atashinda!
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Hapo atavunja rekodi ya Mugabe!Magufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
Kweli akili yako ni kama mtu aliyepigwa strokeNaona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Huu ni uchocheziNaona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Bila shaka huyo mwanamke unaemuwaza atakuwa ni wema. Kwa sababu ndani ya ccm everything z possible.Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Hahahaa umenena vema sana Mr LusindeWatakao piga ni maukawa maana hawana mtizamo kazi yao kuokoteza wagombea watakuambia sumaye na uziro wake
Kwani hata hao wanaume wamefanya mini la maana, bora tubadilishe wanaume wameshindwa kutuvushaMkuu kwa nchi yetu bado sana mwanamke kukubalika ktk nafasi hiyo......lakini pia mpaka sasa hv hakuna mwanamke yeyote ktk nafasi yoyote aliyefanya makubwa ili kushawishi uma hususani wanaume kuwakubali kwenye uongozi.
Ni kweli, inekuwa kama lile danguro la Manzese alilolifunga Hapi.Jamii fournm inapoteza ladhaa
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!