Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

2025 mtifuano utakua mkubwa sana na wa aina yake, suluhisho itakua kwa mwanamke! Na Atashinda!
Hakutakuwa na mtifuano kama 2015. Mafisadi waliokuwa wanataka kutupatia rais wapo chali na mitandao imezikwa rasmi Magufuli aliposhinda!

Kikwete aliposhinda mara ya kwanza 2005 watu hawakupoteza muda kuanza kampeni 2015 lakini sasa hivi umeona kuna mtu hata anajaribu kutengeza mtandao wake wa uchaguzi 2025?
 
Yaani kuna watu ni wazembe sana kwenye hii nchi, watu hao wakila na kushiba na kujamba kazi yao inayobaki ni kujipendekeza na kusifu hata ujinga (nje ya mada)
 
Back
Top Bottom