Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Ndoto za mchana wa jua kali, ungejua namna miradi iliyoachwa na marehemu JPM inavyoendelea kukamilika mmoja baada ya mwingine usingekuja na mawazo kama haya.Damu itamwagwa na huyo anaye ng'ang'ania uongozi kwa sababu lazima atatumia mbinu chafu kuendelea kukaa madarakani ..tumia akili sisi tunaona mbali sana hadi kufika 2024, sa100 hatakuwa kachokwa na uchumi wa nchi utakuwa umekufa kabisa ila sijui kama yeye mwenyewe atakuwa na moyo wa kutaka madaraka kinyume na watz