Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize

Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize

Huo ndio utabiri wangu.

Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.

Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.

Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.

Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.

I put one hundred percent in everything that I have said above👆

Update:

1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza

2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja

3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.

4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.

# my love moves in the direction of my words.
Wacha weeh!😀
 
Huo ndio utabiri wangu.

Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.

Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.

Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.

Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.

I put one hundred percent in everything that I have said above👆

Update:

1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza

2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja

3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.

4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.

# my love moves in the direction of my words.
Wewe ni mpuuuzi
 
Huo ndio utabiri wangu.

Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.

Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.

Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.

Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.

I put one hundred percent in everything that I have said above👆

Update:

1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza

2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja

3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.

4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.

# my love moves in the direction of my words.
Hamna kitu!!
 
Mkuu LIKUD haina haja ya kujitoa bwana. Kwenye maisha ya soka huwa hakuna haja sana ya kutimiza ahadi za namna hii.

Mwisho wa siku soka ni mchezo tu kama michezo mingine, siyo kitu serious hivyo. Baki tu mkuu na maisha yaendelee.

Ova
 
Back
Top Bottom