Kwa akili za namna hii, wacha muendelee tu kuitwa mbumbumbu.Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Sawa; ndoto yako imetimia leo.Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Mtabiri fake wewe tena hufai hata kwenye jamii yaani ni sawa umejitabiria mwenyewe (yanga 0-2 Azam), ubao umepinduliwa huuIkiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Nimechelewa na majibu yamekwisha toka umepatia mkuu ila ni ubao umeanguka inaonesha yanga kachukua yale magoli mawili na zile 0kachukua azamIkiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Ulijitabiria ushuzi na dua lako limegeuka kama ulivyoombea ubaya kwa wenzio.Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Utabiri..... Azam 2 Yanga 0Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
Kolowizard lipo linauchungulia uzi wake kama vile linavyomchungulia mama mkwe🤣🤣🤣Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.
ubao unasomaje sasa?Ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mechi ya Yanga Vs Azam katika mchezo wa ngao ya jamii, ubashiri wangu unaonesha Yanga atatolewa na Azam katika mtanange huo.
Azam Fc iliyosajili vizuri itacheza na Yanga iliyoondokewa na mastaa wake tegemezi.
Baada ya dakika 90’ ubao utakuwa unasoma hivi Yanga 0-2 Azam. Na matokeo hayo yatawanya Azam Fc kuingia fainali huku wakisubiri mshindi wa Simba Vs Singida.
Poleni sana wana Yanga.