Utabiri: Yanga itakuwa Klabu ya Tatu nchini kutumia VAR baada ya Simba SC na Simba Queens

Always SIMBA comes first.. Jasiri muongoza njia
 
Ndiyo maana kuna nguvu kubwa ya kuipiga vita Simba sasa hivi. Wanatamani sana kupindua meza waende wao, ndiyo maana anakuuliza kuna list imeshatangazwa? Siwaamini kabisa waswahili hawa.
Hakuna tofauti kati ya Super League na kombe la mapinduzi
 
Another Mbumbumbu on fleek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…