technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mimi ni nani hata nipingeYanga itachukua kombe la shirikisho mwaka huu natabiri na itakutana fainal na Rabat.
Yanga ndiye bingwa wa confederation cup.
Simba atatoka morocco na fainal
Nusu ni Waydad vs mamelodi na kule ni Experence de tunis vs Al Ahly.
watakutana wababe wa africa mamelodi na Al Ahly
Mamelodi ndiye bingwa mpya wa champion ligue
Super cup ni yanga vs mamelodi!!.
HaaLabuda shilikisho ra vyama vya ushilika
AahaaaaaaLabuda shilikisho ra vyama vya ushilika
Kila Kitu inawezekana Lakin acha niweke hakiba ya maneno ila kwenye mpira kamwe usimchukulie wenzio kirahisYanga itachukua kombe la shirikisho mwaka huu natabiri na itakutana fainal na Rabat.
Yanga ndiye bingwa wa confederation cup.
Simba atatoka morocco na fainal. Nusu ni Waydad vs mamelodi na kule ni Esperance de tunis vs Al Ahly.
Watakutana wababe wa africa mamelodi na Al Ahly
Mamelodi ndiye bingwa mpya wa champion ligue
Super cup ni yanga vs mamelodi!!.
Yanga itachukua kombe la shirikisho mwaka huu natabiri na itakutana fainal na Rabat.
Yanga ndiye bingwa wa confederation cup.
Simba atatoka morocco na fainal. Nusu ni Waydad vs mamelodi na kule ni Esperance de tunis vs Al Ahly.
Watakutana wababe wa africa mamelodi na Al Ahly
Mamelodi ndiye bingwa mpya wa champion ligue
Super cup ni yanga vs mamelodi!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Saccos? UwiiiiihLabuda shilikisho ra vyama vya ushilika
Umeumbuka, Yanga ilee fainali.Labuda shilikisho ra vyama vya ushilika
Nikiwa nimesimamaMkuu unaota ukiwa unatembea!
Mkuu unaota ukiwa unatembea!
Ndo ubingwa tayariUmeumbuka, Yanga ilee fainali.