MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Hizi aibu mbona zinaepukika. Sio lazima kila mtu ajue ujinga wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNimeweka uzi huu kuwakumbusha wana Yanga kuwa ule muda wa kucheka umekwisha marabaada ya kupata ushindi kwa mara ya kwanza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Africa ndani ya miaka 88 toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Vituo vinavyofuata ni Al Ahly na CR Belouizdad ambao bila ya shaka klabu ya yanga haitaambulia chochote.
Washamba mpo wengi Sana.Nimeweka uzi huu kuwakumbusha wana Yanga kuwa ule muda wa kucheka umekwisha marabaada ya kupata ushindi kwa mara ya kwanza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Africa ndani ya miaka 88 toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Vituo vinavyofuata ni Al Ahly na CR Belouizdad ambao bila ya shaka klabu ya yanga haitaambulia chochote.
😄Pumzika kunywa maji mengi maana unaweweseka mkuu usipokuwa makini utaanza bleed soon