UTABIRI: yatayozungumzwa na JPM kesho tar 1May 2019 siku ya Wafanyakazi

UTABIRI: yatayozungumzwa na JPM kesho tar 1May 2019 siku ya Wafanyakazi

Kesho ni siku ya wafanyakazi Duniani na mgeni rasmi ni ráis JPM mkoani mbeya,tutabiri yatayozungumzwa .
--Uhakiki umebaki na ukimalizika ataongeza mshahara kweli kweli tumpe muda.
--Mishahara hewa bado ipo na anapambana nayo ili akiongeza aongeze pakubwa.
- Tume ya mishahara inamalizia kazi yake na ikimaliza atafuata mapendekezo yake ya usawa wa mishahara.
-Ajira mpya atajikita kwenye kichaka cha waalimu elfu 4 ma watumishi wa afya mia kadhaa
----kupandisha mshahara NEVER Labda vyeo na madaraja maana anajua atapandisha wachache tofauti na mishahara ingehusu wafanyakazi wote
-NB
Atakwepa suala la kupunguza mishahara minono serekalini na kuongezea wenye mishahara midogo.
Suala ni wafanya kazi ila lazima achomeke Ndege, SGR, na strigle gorge

Tuendelee na utabiri........
Kipaumbele cha Serikal kwa hivisasa ni
Kutengeneza Miundombinu mbali mbali na vile vile Kufanya Saving kwa Ajili ya Chaguz zilizo mbele yetu.
Hivyo Wafanyakaz naomba mnivumilie kidogo hakika Mambo yatakuwa Mazur hapo baadae..
 
Kipaumbele cha Serikal kwa hivisasa ni
Kutengeneza Miundombinu mbali mbali na vile vile Kufanya Saving kwa Ajili ya Chaguz zilizo mbele yetu.
Hivyo Wafanyakaz naomba mnivumilie kidogo hakika Mambo yatakuwa Mazur hapo baadae..
bleeding word
 
Hotuba itakuwa hivi,hii nchi ilikuwa inaliwa sana.Wafanyakazi hewa,mtu ana majina yake. Tumekamata wafanyakazi hewa selasini na mbili elfu.
Kulikuwa na majina fake ya mikopo yaani hii nchi ilikuwa imeoza.
Sasa baada ya kusafisha ndo tumeajiri walimu,manesi na sector zingine pia.
Kwa vile tumesafisha sasa ndo tutapandisha madaraja wafanyakazi na kuongeza mishahara.......
 
Hotuba itakuwa hivi,hii nchi ilikuwa inaliwa sana.Wafanyakazi hewa,mtu ana majina yake. Tumekamata wafanyakazi hewa selasini na mbili elfu.
Kulikuwa na majina fake ya mikopo yaani hii nchi ilikuwa imeoza.
Sasa baada ya kusafisha ndo tumeajiri walimu,manesi na sector zingine pia.
Kwa vile tumesafisha sasa ndo tutapandisha madaraja wafanyakazi na kuongeza mishahara.......
Atagusia tume ya Mishahara atajifanya anaisubiria imalize kazi yake afanye maamuzi kumbe zuga tuu!
 
Kipaumbele cha Serikal kwa hivisasa ni
Kutengeneza Miundombinu mbali mbali na vile vile Kufanya Saving kwa Ajili ya Chaguz zilizo mbele yetu.
Hivyo Wafanyakaz naomba mnivumilie kidogo hakika Mambo yatakuwa Mazur hapo baadae..
Hiyo miundombinu inasimamiwa na wafanyajazi wenye njaa? Wenye frastration za madeni wanayodai serekali?
Wenye kukaa miaka 7 bila kupanda cheo?
 
Hotuba itakuwa hivi,hii nchi ilikuwa inaliwa sana.Wafanyakazi hewa,mtu ana majina yake. Tumekamata wafanyakazi hewa selasini na mbili elfu.
Kulikuwa na majina fake ya mikopo yaani hii nchi ilikuwa imeoza.
Sasa baada ya kusafisha ndo tumeajiri walimu,manesi na sector zingine pia.
Kwa vile tumesafisha sasa ndo tutapandisha madaraja wafanyakazi na kuongeza mishahara.......
My chair has hollow....inside.....

yeye anagawa tu hela barabarani
 
.......mwisho kabisa atajitokeza mama mmoja mwenye bango kubwa akilia kama mtoto kwa kudai kuwa aliachishwa kazi bila kulipwa.....halafu yeye mkuu atatoa solution.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ajabu wakatokea wafanyakazi wenye mabango kuwa walilawitiwa na mabosi wao!
 
Nimeambiwa kuna watu wanataka kuunga juhudi zangu, wako wapi sasa. Waje mbele haraka, sauti inasikika ( hawa hapa mheshimiwa) wote wamevaa magauni mapya ya kijani ili kudhihirisha kuwa hawakuwahi kuwa nayo b4
 
Back
Top Bottom