UTABIRI: yatayozungumzwa na JPM kesho tar 1May 2019 siku ya Wafanyakazi

UTABIRI: yatayozungumzwa na JPM kesho tar 1May 2019 siku ya Wafanyakazi

Msikilize Msemaji Mkuu wa Serikali ndio utajua nini kitakachojiri kesho[emoji116][emoji116]
Kesho ni siku ya wafanyakazi Duniani na mgeni rasmi ni ráis JPM mkoani mbeya,tutabiri yatayozungumzwa .
--Uhakiki umebaki na ukimalizika ataongeza mshahara kweli kweli tumpe muda.
--Mishahara hewa bado ipo na anapambana nayo ili akiongeza aongeze pakubwa.
- Tume ya mishahara inamalizia kazi yake na ikimaliza atafuata mapendekezo yake ya usawa wa mishahara.
-Ajira mpya atajikita kwenye kichaka cha waalimu elfu 4 ma watumishi wa afya mia kadhaa
----kupandisha mshahara NEVER Labda vyeo na madaraja maana anajua atapandisha wachache tofauti na mishahara ingehusu wafanyakazi wote
-NB
Atakwepa suala la kupunguza mishahara minono serekalini na kuongezea wenye mishahara midogo.
Suala ni wafanya kazi ila lazima achomeke Ndege, SGR, na strigle gorge

Tuendelee na utabiri........
Take a look at @TZMsemajiMkuu's Tweet:
 
Hahahahhh nimecheka kingeseee[emoji81][emoji81][emoji81]
Nimeambiwa kuna watu wanataka kuunga juhudi zangu, wako wapi sasa. Waje mbele haraka, sauti inasikika ( hawa hapa mheshimiwa) wote wamevaa magauni mapya ya kijani ili kudhihirisha kuwa hawakuwahi kuwa nayo b4
 
Kesho ni siku ya wafanyakazi Duniani na mgeni rasmi ni ráis JPM mkoani mbeya,tutabiri yatayozungumzwa .
--Uhakiki umebaki na ukimalizika ataongeza mshahara kweli kweli tumpe muda.
--Mishahara hewa bado ipo na anapambana nayo ili akiongeza aongeze pakubwa.
- Tume ya mishahara inamalizia kazi yake na ikimaliza atafuata mapendekezo yake ya usawa wa mishahara.
-Ajira mpya atajikita kwenye kichaka cha waalimu elfu 4 ma watumishi wa afya mia kadhaa
----kupandisha mshahara NEVER Labda vyeo na madaraja maana anajua atapandisha wachache tofauti na mishahara ingehusu wafanyakazi wote
-NB
Atakwepa suala la kupunguza mishahara minono serekalini na kuongezea wenye mishahara midogo.
Suala ni wafanya kazi ila lazima achomeke Ndege, SGR, na strigle gorge

Tuendelee na utabiri........
Kaazi kweli kweli! Mambo ni mengi, muda mchache. Ngoja nitengeneze mkeka nimtafute mhindi muda usonge
 
Hivi ile tume haina time frem mana yake inaweza fanya kazi hata miaka 60 ndo itoe majibu
 
TAMTHILIYA LEO ITAKUWEPO?

Igizo la mama kudhurumiwa na mwajiri wake na Kisha atachangiwa mamilioni msisahau kulitizsma
 
Mvua zingenyesha mbea upuuzi huo usifanyike
 
Hivi ile tume haina time frem mana yake inaweza fanya kazi hata miaka 60 ndo itoe majibu
Ni project ya mkulu kisiasa! Kuua kiki au harakati za wafanyakazi kudai maslahi Ulishawahi kusikia tume ya Maziwa inafanya kazi gani?
 
Wote mko sahihi, hakuna jipya kwenye hotuba zake, mimi nitakuwa natazama series ya Tom & Jerry
 
Back
Top Bottom