Utabiri: Zitto kupewa ubalozi wakati wowote

Atakuwa balozi wa tz huko Micronesia yani visiwa vya Tuvalu na Vanuatu akakae huko na usnitch wake
 
Hongera kwa Balozi Mteule wa Tanzania nchini Kuwait, Z.Z.K.
 
Aliambiwa achana na hayo utakufa masikini, watanzania hawajitambui na hawahitaji kutetewa.
 
Amechoka sana zitto cku hizi yawezekana.
 
utabiri chonganishi 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…