Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliambiwa achana na hayo utakufa masikini, watanzania hawajitambui na hawahitaji kutetewa.Huu ndio mtazamo wangu kwa saa kuhusu huyu mwanasiasa.
Itachukua muda gani au ni lini atatuellliwa, hio ni swala la muda.
Kupewa cheo serikalini pia inawezekana, lakini hili naliona sio rahisi labda ujumbe wa bodi kwenye mashirika ya umma.
Muda utathibitisha.
Akili kubwa kupokea hela za mtu mliyemuita fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais!?KAZI YA KUIHUJUMU CHADEMA AMEIFANYA SANA TOKA AKIWA CHADEMA ILA WENYE AKILI KUBWA WALIMGUNDUA NA KUMTOSA
Amechoka sana zitto cku hizi yawezekana.Huu ndio mtazamo wangu kwa saa kuhusu huyu mwanasiasa.
Itachukua muda gani au ni lini atatuellliwa, hio ni swala la muda.
Kupewa cheo serikalini pia inawezekana, lakini hili naliona sio rahisi labda ujumbe wa bodi kwenye mashirika ya umma.
Muda utathibitisha.
utabiri chonganishi 🐒Huu ndio mtazamo wangu kwa saa kuhusu huyu mwanasiasa.
Itachukua muda gani au ni lini atatuellliwa, hio ni swala la muda.
Kupewa cheo serikalini pia inawezekana, lakini hili naliona sio rahisi labda ujumbe wa bodi kwenye mashirika ya umma.
Muda utathibitisha.