mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
unataka ukaegeshe POUMBBOU kwa dem wa msela?Mkuu naomba unipe connection na mm niende kutafuta maisha, niunganishe shemeji anipokee kama ndugu yako. Anisaidie mi naamini ndani ya miezi mi3 tu nitakuwa nishaseto
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaaa kwani CANADA USA n.k kuna SINGELI?Aaaaaaah ndugu mchangiaji kwenda kuishi sehemu haina maana upendi nchi yako.
Nchi ambayo chama kinachoshika dola katibu wake mwenezi ni Albert Bashite?ndugu mwanzisha thread, nikipewa hyo nafasi, ntaikataaa kwa mikono mi2. naipenda TANZANIA na masaibu yake.
Australia wana Sheria kali sana kuhusiana na masuala ya Uhamiaji, Sheria ni kali mno, huenda pengine ndio wako strictly zaidi ktk kusimamia Sheria za Uhamiaji. Nchini Australia deportation ya Wahamiaji inafanyika kila siku. Ukikiuka taratibu zao kidogo tu ujue wazi kabisa kwamba deportation inakuhusu, hawataki masihara hata chembe.Program za uhamiaji ni ngumu sana canada kuliko marekani.pia ubaguzi ni mkubwa kuliko marekani na program ya chakula hata marekani uwa wanatoa food stemp ikiwa huna kazi au kazi yako haikimizi maitaji.
Kuna faida zake kuishi canada na kuna faida kuishi marekani ila marekani kwa mtu mtafutaji ni bora kuliko nchi yeyote.
Frankly speaking, Tanzania kwa asili ni nchi nzuri sana, tatizo ni kwamba kuna utawala usiokuwa mzuri.Nchi ambayo chama kinachoshika dola katibu wake mwenezi ni Albert Bashite?
WhyMarekani
Kunanifaaa sanaa.
[emoji2937][emoji91]Kunanifaaa sanaa.
Ouk[emoji2937][emoji91]
Canada kwa sababu kwanza hakuna ubaguzi mkubwa kati ya mweusi na mweupe, urahisi wa maishabkati ya nchi hizi tatu Canada ni rahisi, population ndogo nchi kubwa hivyo program za uhamiaji ni rafiki kuliko USA na Australia.
Wacanada wana ustaarabu fulani hasa kutokana na wengi kuwa wahamiaji kutika nchi nyingi duniani ingawa inafuata majimbo, kama unaongea kifaransa nenda Quebec, kingereza Ontario nk. Huwezi kulala njaa kutokana na program za kusaidia wasiojiweza.
Pia ada za shule hasa vyuo ni poa kuliko USA na Australia. Nimeishi miaka 3 pia nina mtoto raia huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaenda US wanatafuta njia ya kuingia Canada hlf ww sijui unaongea nn.... Anyway have you ever been in Canada?