Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Sawa tunaheshimu mawazo yako chiefMi niko marekani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tunaheshimu mawazo yako chiefMi niko marekani mkuu
K, Good for youCanada nina ndgu jamaa na matafk alafu ni majirani zangu
Nilipewa uchaguzi huo, nikachagua Marekani.Hivi ukipewa nafasi ya kuishi katika nchi moja wapo tajwa hapo juu wewe kama mtafutaji unaweza kukimbilia nchi gani?.
Na toa maelezo kwanini unaipenda nchi hiyo.
Wanaenda Canada kwa ajili ya karatasi wakipata wengi wamerudi USA,kupata karatasi usa ni ngumuWatu wanaenda US wanatafuta njia ya kuingia Canada hlf ww sijui unaongea nn.... Anyway have you ever been in Canada?
@Kiranga nataka nizamie USA via Tijuana border, niko kwenye mchakato wa awali wa kusecure visa ya Mexico then niingie USA illegaly.Nilipewa uchaguzi huo, nikachagua Marekani.
Uchumi mkubwa, nchi kubwa unaweza kuchagua sehemu nyingi za kuishi, utamaduni wa kupokea wageni, kuna watu wa kutoka dunia nzima, viongozi wa sayansi na teknolojia, nafasi za elimu na biashara nyingi etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikir kijana wakiafrika anaenda abroad kutafuta nn... Si karatasi au... Hata hivyo pote ni kuhustle kwako tu... Hakuna cha karatasi ngumu wala nnWanaenda Canada kwa ajili ya karatasi wakipata wengi wamerudi USA,kupata karatasi usa ni ngumu
Kila mtu na mtazamo wake kwa mimi USA is best place,nimeishi Canada sio kama mnavyoisifia ingia uishi sio usimuliwe na mtuUnafikir kijana wakiafrika anaenda abroad kutafuta nn... Si karatasi au... Hayo hivyo pote ni kuhustle kwako tu... Hakuna cha karatasi ngumu wala nn
Haya labda nimesimuliwaKila mtu na mtazamo wake kwa mimi USA is best place,nimeishi Canada sio kama mnavyoisifia ingia uishi sio usimuliwe na mtu
Siwezi kukushauri uzamie, ukizamia hata kukusaidia zaidi ukifanikiwa kuzamia itakuwa vigumu.@Kiranga nataka nizamie USA via Tijuana border, niko kwenye mchakato wa awali wa kusecure visa ya Mexico then niingie USA illegaly.
What's your advice senior?
Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo wewe minimum wage canada dollar 14,Australia dollar 19,shida mmeshakariri kwamba Canada kuzuri mtakupamba kwa kila namnaCanada ndio nchi pekee yenye nafasi nyingi za ajira kuliko nchi zote ulizotaja na pia Canada ina minimum wage kubwa kulinganishwa na nchi zote ulizotaja.
Canada is more friendly to immigrants kulizo nchi ulizotaja.
Canada is the place to be kwa Sasa hapa Duniani.
N.k..............
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipewa uchaguzi huo, nikachagua Marekani.
Uchumi mkubwa, nchi kubwa unaweza kuchagua sehemu nyingi za kuishi, utamaduni wa kupokea wageni, kuna watu wa kutoka dunia nzima, viongozi wa sayansi na teknolojia, nafasi za elimu na biashara nyingi etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Canada ndio nchi pekee yenye nafasi nyingi za ajira kuliko nchi zote ulizotaja na pia Canada ina minimum wage kubwa kulinganishwa na nchi zote ulizotaja.
Canada is more friendly to immigrants kulizo nchi ulizotaja.
Canada is the place to be kwa Sasa hapa Duniani.
N.k..............
Sent using Jamii Forums mobile app
Kihalali ndo haiwezekani kuingia USA kirahisi.. naweza kugombea ubunge Tanzania nikafanikiwa ila siwezi kupewa USA visa easily.Siwezi kukushauri uzamie, ukizamia hata kukusaidia zaidi ukifanikiwa kuzamia itakuwa vigumu.
Ukiingia kihalali kuna njia nyingi sana za kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu! Ajitahidi aingie kihalali.. Hii itamsaidia kwenye kuprocess papers.Siwezi kukushauri uzamie, ukizamia hata kukusaidia zaidi ukifanikiwa kuzamia itakuwa vigumu.
Ukiingia kihalali kuna njia nyingi sana za kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona schoolmateMbona mliotangulia wote Canada?!! Okay na mimi Canada coz elimu yangu ya msingi nilisomea ottawa