Utachukuliaje ukikuta msichana aliyejinadi kuwa ni bikra kuwa sio bikra ilikuwa uongo?

Utachukuliaje ukikuta msichana aliyejinadi kuwa ni bikra kuwa sio bikra ilikuwa uongo?

Bado asubuhi sana mida ya kazi hii, ngoja niende kwenye kikao kwanza
 
Wakuu hii imenitokea mimi. Kuna manzi niliona ni wife material ikabidi nimtokee. Hakunizungusha sana kunikubali ila changamoto ikaja kwenye kumtafuna. Kwa muda mrefu binti alikuwa anakataa katakata kufanya mapenzi kiasi kwamba tukawa tunaishia mabusu na mambo mengine madogo madogo. Alikuwa akidai yeye ni bikra na atanipa mzigo baada ya ndoa. Tulibishana sana ila nikajiambia muda ndo hakimu wa haki. Ukweli utajulikana tu bila kutumia nguvu.

Sasa majuzi kaja geto tukapiga romansi na nikashangaa manzi kanivulia na kuniruhusu nichakate. Kweli nikapiga. Bikra haikuwepo. Kiukweli nilipiga bao moja tu na kuingia kwenye mawazo mazito mno kwamba kwa muda wote huo mimi nilikua bwege na kuna wahuni walikuwa wanapiga. Ingekuwa wewe ungesamehe na kuendelea na mipango ya kuja kuoana au ungemwacha?
Fuatilia hata habari za chadema kuchapana mikwaju iringa kazi ni uzinzi tu
 
Dah yaani nimeamka asubuhi na thread za visa vya mapenzi tuuuuuuuu, sasa subiri ifike Ijumaa, kimyaaa kila MTU anatafuta mdhambi mwenzie wakatende DHAMBI kwenye sabato.....
😂 dunia ya hekaheka hii, leo kuna watu wanajutia ya wikiendi na kuapia hawatorudia tena ila ngoja ifike alhamisi mawazo yanabadilika.
 
Pengine ni kweli alikua ni bikra ila anamaumbile makubwa...
 
Pole mkuu, wanawake wote kwenye mapenzi ni matapeli kamwe usiwaamini japo kwa hili wewe ndo fala ulikuaje ukaamini ujinga huo?? Huenda hakumaanisha bikra unyoijua wewe
 
NI KAMA UNANISTUA NIPO KWENYE KUBEMBELEZA NI BIKRA NIMWELEZE SIKU NIKIJUA UNANIDANDANYA ITAKUAJE ANAWEZA JIBU KWELI
 
Hizo bikra Huwa mnazipendea nini...Mimi kwa maungo yangu yalivyo bikra sizitaki hata kuzisikia...!​
 
Back
Top Bottom