Ndo maana siku hizi Chlamydia kila mahali.Vijana wanapenda utelezi.
Mimi watu wananichekaga sana... nikiwaambia ni bora nipige punyeto kuliko kugonga mtu kavu kavu bila kinga.. wananicheka.. hizo drama ndio sizitaki
Vijana wanapenda utelezi.
Mimi watu wananichekaga sana... nikiwaambia ni bora nipige punyeto kuliko kugonga mtu kavu kavu bila kinga.. wananicheka.. hizo drama ndio sizitaki
Kama mimi hapa ningekuwa wewe.. Ningekaa nae chini, tukaanza zero.. ikiwa ni pamoja kukubaliana na hali zetu.. kumtazamia Mungu katika maisha mapya.. lakini kubwa zaidi upendo usio na doa wala shaka.. huku Mungu akiwa wa kwanza.. na kujitahidi kufata ushauri wote wa kitaalamu kwa kujali afya n.k..Habari wakuu,
Long time sana sijachapa uzi humu, Sasa nimekaa nikawa najiuliza kwamba hivi mfano wewe upo kwenye mahusiano au ulilala na mtu fulani alafu after unakuja kugundua kwamba huyo mtu ni muathirika wa HIV na anaifahamu hali yake ila hakukupa taadhari yoyote na sasa tazama umepiga/umepigwa kavu tena kwa uchu na ulimpakia mkongo maybe kukomesha kabisa au kama wewe ni mwanamke niseme uliikalia na kuikatikia vizuri kwa ufasaha yote kuahakikisha unamvuruka mwenza wako na tendo linakuwa murua.
Sasa tuseme katika hapa na hapa ukweli umetafuta njia na sasa umekujia na unagundua huyo mwenzi wako ni muathirika na anajijua na hali yake na ni kwamba alifanya makusudi ili wote muwe sawa... Unawahi hospital kucheki Afya huku karoho kanadunda then unaona the way Madokta wanavyoshauriana kukupa majibu yako kwa jinsi kijasho chembamba kinakutoka ila mwishoni wanakukufungukia either upo possitive.
Je, ni uamuzi gani utachukua baada ya hapo? ikiwa utakutwa positive
Mimi huo upuuzi hauwezi nikuta kamwe,kwanza sito mbani kizembe.Pia siku nikija kukutana kimwili na mtu lazima tupime magonjwa yote ya zinaa na pamoja na kupima lazima Condom itumike. So siwezi jiongelea kwenye scenario ambayo kamwe haiwezi nikuta .Nimekuuliza wewe, so usitoe ushauri bali jiongelee wewe ungechukua uamuzi gani?
Kama kamba zenyewe hatuzielewi tutauelewaje uzi?Mnasomaga uzi mkaelewa lakini?
Hivyo vijidudu kabla hujavipata unaambiwa ni hatari sana, ila ukishavinasa unaambiwa usiwe na hofu.... utaweza kuishi navyo tu havina shida.
Mbinguni utakuwa housegirl wa Bikira Maria...Mimi huo upuuzi hauwezi nikuta kamwe,kwanza sito mbani kizembe.Pia siku nikija kukutana kimwili na mtu lazima tupime magonjwa yote ya zinaa na pamoja na kupima lazima Condom itumike. So siwezi jiongelea kwenye scenario ambayo kamwe haiwezi nikuta .
So hadi mumeo/mkeo mnatumia kinga?Mimi huo upuuzi hauwezi nikuta kamwe,kwanza sito mbani kizembe.Pia siku nikija kukutana kimwili na mtu lazima tupime magonjwa yote ya zinaa na pamoja na kupima lazima Condom itumike. So siwezi jiongelea kwenye scenario ambayo kamwe haiwezi nikuta .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee Kuna logic Sana apaHivyo vijidudu kabla hujavipata unaambiwa ni hatari sana, ila ukishavinasa unaambiwa usiwe na hofu.... utaweza kuishi navyo tu havina shida.
Hasa wanwake wa dodoma[emoji28]Ndo maana siku hizi Chlamydia kila mahali.
Usimjaze ujinga mwenzio[emoji28]Acha undezi wewe! Kupata ngoma si rahisi kama unavyofikiri.
Hata ARV ntameza nikiukwaa.... Sina ugomvi na vidonge. Mi adui yangu ni sindano tu. BaaaaasBasi Endelea kumeza Asprin zako
Kupanga ni kuchagua.Hahaha, hivi mtu anaweza kweli kuishi nyumba moja na mtu ambae amemuaharibia maisha kwa makusudi na wakakaa kwa amani kabisa?