Kuna jamaa aliniambia nimkubali ivyo ivyo alafu huko mbeleni nitachagua kubaki na bwana alienikuta nae au nibaki nae yeye kwa kweli nilimshangaa sana sijui anajiamini kitu gani.
ulimkubalia?
Wana MMU umemtokea demu alafu anakupa jbu "tayari nina mpenzi wangu" pale unavyotongoza? kama hlo je utaendelea kumkomalia au utafanyaje?
Mpaka unaambiwa hivyo ujue ulishakosea
wengine wanakwambia hivyo hili asije akaonekana anajirahisha kwako
inabid usikate tamaa
Hapo sasa mbona kazi ndogo,utakiwi kumconvince kwa maneno....Muwekee mazingira ya kujiona free ya kuwa na wewe ata kama ana mtu tayari,mpe anachopenda ila anakosa kwa boyfriend wake....mfano,sista du anapenda kuvaa na bwanake hajali kumng'alisha mpige shopping ya vitu asivyovitegemea kuvaa.. Yani inshort cheza na mind yake otherwise awe hajavutiwa mazima.
anakuwa anatingisha kiberiti
Watu wengine kwa kuandaa mazingira ya kuchunwa na kupangwa mstari bhana! Kha!
Mabinti wa siku hz hayo ni majibu yao standard, ili kesho ukikuta msg za mapenz kwenye simu yake uwe mpole, na kwakua umeng'ang'aniza kupewa lift atakupiga mizinga ya aibu!
Cha kufanya, mabinti kama hao hakuna kufanya discussion hadi kufikia huko kwenye majibu ya kuudhi, unampangia mitego kama ya kwenye draft ama chess, akija kushtuka chochote atakachosema ama kuamua ni 'tu-tu-sa' ama 'chess mate'
You should structure the trap in such a way that she would be celebrating her orgasm before she knows how she got there in the first place!
And as for cementing your relationship, itendee haki papuchi hadi akiondoka njia nzima anasikilizia utamu kama aliyetoka kulamba sukari!
Heeeeee em tuambie matokeo yako ya fm6 kwanza !!!!!
Na usipokaa sawa atakipukuchua hicho kipochi manyoya!Juzi tu hapa kuna mbaba alinitongoza nikamjibu hivyo kwamba niko engaged, alichosema mmmm!
Wanume sijui mkoje, umeshajibiwa tena jibu la wazi wala sio la kujing'atang'ata lakini uking'anga'nizi sasa lol!
Watu wengine kwa kuandaa mazingira ya kuchunwa na kupangwa mstari bhana! Kha!
Mabinti wa siku hz hayo ni majibu yao standard, ili kesho ukikuta msg za mapenz kwenye simu yake uwe mpole, na kwakua umeng'ang'aniza kupewa lift atakupiga mizinga ya aibu!
Cha kufanya, mabinti kama hao hakuna kufanya discussion hadi kufikia huko kwenye majibu ya kuudhi, unampangia mitego kama ya kwenye draft ama chess, akija kushtuka chochote atakachosema ama kuamua ni 'tu-tu-sa' ama 'chess mate'
You should structure the trap in such a way that she would be celebrating her orgasm before she knows how she got there in the first place!
And as for cementing your relationship, itendee haki papuchi hadi akiondoka njia nzima anasikilizia utamu kama aliyetoka kulamba sukari!