Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Utafanya au ulifanya nini ulipo tambua kwamba msaada wa wazazi/ ndugu zako kwako ni wakukuchimbia kaburi na kukuzika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu kwa yaliyowahi kukutokea, ulichukua hatua gani vp Unawasiliana nao vizuri kwa sasa?Mi nimewahi kuishi najua kabisa sipendwi na yeyote ndani hiyo ilikua mwaka 2003 nilikua mdogo sana si baba wala mama wa kambo au wadogo zangu wote hawakunipenda hata baba yangu mzazi nilifanyiwa manyanyaso mengi niliitwa kila jina la kibaguzi
Umama ndio kitu gani? umewahi kuishi na mtu asiekupenda yaani hakupendi ila hamna namna tu?Acha umama mwanaume halili kupendwa
Nitamshukuru Mungu kwa kunipa maatifa ya kutambua hilo.Utafanya au ulifanya nini ulipo tambua kwamba msaada wa wazazi/ ndugu zako kwako ni wakukuchimbia kaburi na kukuzika?
Mshukuru tu Mungu. Inaumiza sana hyo.... Lkn ukipata maisha mazuri wote wataanza kukupenda...Utafanya au ulifanya nini ulipo tambua kwamba msaada wa wazazi/ ndugu zako kwako ni wakukuchimbia kaburi na kukuzika?