Ndugu yangu kupendwa na binadamu au kujaliwa na binadamu siyo kitu cha maana sana.Jitahidi kuwa na mahusiano ya karibu na Mungu tu utaipata amani ya kweli si kama amani wawezayo kukupa wanadamu.Hallo hujajifunza tu kuhusiana na mahusiano ya karibu yaliyo kuwepo kati ya Makonda,Musiba,na mataga wengineo na Magufuli?Hivi kwa kifupi hujaona tu kuwa mtu yoyote amtegemeaye mwanadamu na kumfanya nguzo yake ana laana?Na ataishi duniani kwa shida sana siyo ndugu tu,haitakiwi hata kuumiza kichwa kama sijui mahusiano yako yanatetereka jaribu kuwa imara kwenye nafsi yako usipende furaha yako ije kwako kutoka kwa watu wengine furaha yako jaribu kuitengeneza kutoka kwako na HAPA NDIYO UTAKUJA KUONA UIMARA WA INTROVERTS HUWA HAWAJALI KABISA KUPATA ATTENTIONS ZA WATU WENGINE YAANI HAZINA MADHARA KWAO KABISA