Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
- Thread starter
- #181
mkuu nitaenda kwanza kwenye chimbo flani hivi ambako huwa nachoma kitimoto,nachoma kawanza kama kilo 5 hivi,nakaa nazo chini naanza kuzishughulikia.....kesho nitakujuza hatua ya pili itakayofuata
ahahahah we jamaa unaonekana una hamu na kitimoto si utavimbiwa