Utafanyaje? Unaamka unakuta dunia nzima uko peke yako?

mkuu nitaenda kwanza kwenye chimbo flani hivi ambako huwa nachoma kitimoto,nachoma kawanza kama kilo 5 hivi,nakaa nazo chini naanza kuzishughulikia.....kesho nitakujuza hatua ya pili itakayofuata

ahahahah we jamaa unaonekana una hamu na kitimoto si utavimbiwa
 
Nitakuwa wa kwanza, kwa hiyo mwanamume nitakayemuumba safari hii nita make sure ana follow matakwa ya CREATIONS!
 
Kwanza haitakaa ikatokea japo ikitokea poa tu maana majumba yote yatakua ya kwangu,na MUNGU akiniona nipo mpweke akaleta watu wengine itakua poa maana ntapangisha nyumba zangu.hii ni zaidi ya kumiliki Apartiment,sijui ntaita namiliki nini tu.
 
Yaani ni sawa na kuamka asubuhi alafu unakuta Nje Hakupo.
 
Kwanza haitakaa ikatokea japo ikitokea poa tu maana majumba yote yatakua ya kwangu,na MUNGU akiniona nipo mpweke akaleta watu wengine itakua poa maana ntapangisha nyumba zangu.hii ni zaidi ya kumiliki Apartiment,sijui ntaita namiliki nini tu.

hakuna kisichowezekana kwa MUNGU MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…