mwanajamii mpya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 554
- 445
Nitaomba waniludishie lulu na wema sepetu.....Salama wakuu, mimi naomba kuwauliza SWALI, je, ikitokea siku moja umeamka ile unatoka nje HUKUTI MTU HATA MMOJA, UNAJARIBU KWENDA KATIKATI YA MJINI HUPISHANI NA MTU YEYOTE YULE.. HAKUNA KINACHOENDELEA, UPO WEWE TU NA WANYAMA KAMA NG'OMBE, MBWA, PAKA, NDEGE N.K...
YANI KIUFUPI UNAJIKUTA UKO WEWE TU HAKUNA WATU WENGINE DUNIANI LAKINI KILA KITU KIPO.. UTACHUKUA UAMUZI GANI?😎😎😛
Sasa wewe unavyohisi hao watu watakuwa wamesafiri au wamekufa? Acha bange hizo!
Mmeshaondoka kwani?si uoe hata leo
Mmeshaondoka kwani?
Una Adopt new way of Living,Wanyama waliopo watakua nDio replacement ya wanaDamu walioonDoka,.sijakusuDia na haja za kimwili
Maana ina relate kiasi na wale wawekwao ktk IsolateD cells in PRISON, Watu huwa wanafanya paka/ndege/Insects kuwa waliwazi wao/Kuwa Rafiki wao wa kariBu na iko prooVeD scientifically kwamba wanyama wanasaiDia sana ktk kupunguza msongo/Mkazo wa Mawazo so na ni kitu ambacho Baba yetu Nabii ADAM aliki experience ktk Bustani ya Eden..
N life ilisonga tu mpk alipoletewa Eve
Nitaomba waniludishie lulu na wema sepetu
Haijawahi kumwacha mtu salamaView attachment 521690 HILI NDIO LITAKUWA JIBU LA SWALI LAKO..
Omba sana au Fanya dua mkuudaah aisee kuna siku niliota nipo town mida ya jioni giza ndo linaingia tulikuwa tunasubiri daladala sasa ghafla mwezi (moon) ukavunjika na ukatoa sauti kubwa, baada ya muda nikaona watu wote wamevaa nguo nyeusi kasoro mimi tu na wote wanaelekea sehemu moja wanatembea kwa mstari ila kupo kimya sanaa mimi peke yangu ndo nipo tofauti kila nikiwasemesha hawaongei na hawana muda na mimi, nikajiona nimetengwa na dunia nzima, ile kitu ilikuwa inaniogopesha siku nzima nikikaa nilikuwa nawaza tu
io muv gan kwani?
Naam,Hata kidogo...Haijawahi kumwacha mtu salama
daaah kweli aisee, ila ilikuwa muda sanaaaOmba sana au Fanya dua mkuu
ahahahah we jamaa unaonekana una hamu na kitimoto si utavimbiwa
Hata ndotoni ni ngumu dunia sio kijijiHamna kitu kama hicho na haitakaa itokee..Labda ndotoni
kweli kabisa mkuu [emoji106] [emoji106]Hata ndotoni ni ngumu dunia sio kijiji