Utafanyaje? Unaamka unakuta dunia nzima uko peke yako?

Story za kufikirika haziwezekani..kwanza umeshasema SWALI LA KIZUSHI
 
Huwezi kuzunguka dunia kwa muda mfupi tu unapoamka na kujua kuwa wote hawapo na kuwa umebakia peke yako otherwise itakubidi uwatafute kwa kuzunguka dunia nzima utakapokutana nao mpaka hata kwa miaka millennia
 
Huwezi kuzunguka dunia kwa muda mfupi tu unapoamka na kujua kuwa wote hawapo na kuwa umebakia peke yako otherwise itakubidi uwatafute kwa kuzunguka dunia nzima utakapokutana nao mpaka hata kwa miaka millennia

si utawasha tv utakuta hakuna kinachofanyika
 
hahahah mkuu wewe ni selfish kwenye kufikiri au empty minded???? ebu fikiria nje ya box
I am a philosopher, anyway! Issues of revelation have no scientific proof and that brings me to that conclusion!
 
NITARUDI KULALA ILI NIMALIZIE NDOTO YANGU
 
daah aisee kuna siku niliota nipo town mida ya jioni giza ndo linaingia tulikuwa tunasubiri daladala sasa ghafla mwezi (moon) ukavunjika na ukatoa sauti kubwa, baada ya muda nikaona watu wote wamevaa nguo nyeusi kasoro mimi tu na wote wanaelekea sehemu moja wanatembea kwa mstari ila kupo kimya sanaa mimi peke yangu ndo nipo tofauti kila nikiwasemesha hawaongei na hawana muda na mimi, nikajiona nimetengwa na dunia nzima, ile kitu ilikuwa inaniogopesha siku nzima nikikaa nilikuwa nawaza tu
 
I am a philosopher, anyway! Issues of revelation have no scientific proof and that brings me to that conclusion!

we jamaa philosophy inakufanya uamini usilolijua kuwa haiwezekani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…