Eng Kahigwa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 783
- 631
Hehehehe...hebu fikiria unatembea kengele zote nje mtaa wa kongo na samora huku unapiga mluzi
Nitaingia jamiiforums ili niwacheki walioko online hususani Joseverest
NTAENDA ZILIPO STOO ZA TBL NIANZE KULA NGANO
Kama tea ipo nitagonga na kusubiria kukutana ana kwa ana na sir God
Utajuaje kama upo/umebaki peke yako?
Ntaangalia last seen zaohalafu ukikuta kimyaaaaaaa
Labda nikuulize lengo la huu uzi wako ni nini?we MUNGU?
Naamini kilichowqfanya watoweke ghafla ndo hicho hicho kitakachowarudisha ghafla, lazima bajeti ya nchi inisikilizie naamua nini!utatumia wapi hiyo mihela
We jamaa umesema kama m nilivyotaka sema,Nitajiita Adam,
Nitasubiria Ubavu wangu ugawanywe atokee Hawa/Eva.
Nawaahidi, shetani hawezi kutudanganya tena. Hilo linyoka likija tena tutampasua na kumkimbizia mbali.
Hakutakuwa na uovu tena katika uso wa dunia.
Kwa sababu hujui nn kinafuata , labda watu wataletwa wengine lazima ujihami kuwahi mahela na mali za kutosha,[emoji23]utatumia wapi hiyo mihela
Hiyo inawezekana ktk ndoto tu.....Salama wakuu, mimi naomba kuwauliza SWALI, je, ikitokea siku moja umeamka ile unatoka nje HUKUTI MTU HATA MMOJA, UNAJARIBU KWENDA KATIKATI YA MJINI HUPISHANI NA MTU YEYOTE YULE.. HAKUNA KINACHOENDELEA, UPO WEWE TU NA WANYAMA KAMA NG'OMBE, MBWA, PAKA, NDEGE N.K...
YANI KIUFUPI UNAJIKUTA UKO WEWE TU HAKUNA WATU WENGINE DUNIANI LAKINI KILA KITU KIPO.. UTACHUKUA UAMUZI GANI?πππ