Utafanyaje? Unaamka unakuta dunia nzima uko peke yako?

Utafanyaje? Unaamka unakuta dunia nzima uko peke yako?

Namkamua ng'ombe nakunywa maziwa na kidogo nampa paka na mbwa then naenda zangu kuwinda ndege nile na majirani zangu paka na mbwa then narudi kulala
 
Nitajiita Adam,

Nitasubiria Ubavu wangu ugawanywe atokee Hawa/Eva.

Nawaahidi, shetani hawezi kutudanganya tena. Hilo linyoka likija tena tutampasua na kumkimbizia mbali.

Hakutakuwa na uovu tena katika uso wa dunia.
We jamaa umesema kama m nilivyotaka sema,
Hiyo itakuwa MUNGU kanichagua mm kama Nuhu ili niijaze dunia kwa upya, hapo ni kama Adam, wanyama wapo kila kitu kipo, anasubiriwa tu eva, itabidi nikalale tena nikiamka operation toa eva ubavuni tayari life inaanza upya,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Breki ya kwanza MAGOGONI.
NAINGIA NIKITAMBAAA.
YUKO WAPI ALIYEKUWA ANARINGIA IKULU.
ALAFU NACHEKA KWA DHARAU,
 
Nitasikitika sana... Nimechelewa wapi...

Alafu nitaanza kumtafuta mahondaw wangu... Tuanzishe bustani na Smart911 na mahondaw... Tutaijaza dunia upya...

Tutaweka amri na mafundisho yetu...


Cc: mahondaw
 
.....Salama wakuu, mimi naomba kuwauliza SWALI, je, ikitokea siku moja umeamka ile unatoka nje HUKUTI MTU HATA MMOJA, UNAJARIBU KWENDA KATIKATI YA MJINI HUPISHANI NA MTU YEYOTE YULE.. HAKUNA KINACHOENDELEA, UPO WEWE TU NA WANYAMA KAMA NG'OMBE, MBWA, PAKA, NDEGE N.K...

YANI KIUFUPI UNAJIKUTA UKO WEWE TU HAKUNA WATU WENGINE DUNIANI LAKINI KILA KITU KIPO.. UTACHUKUA UAMUZI GANI?😎😎😛
Hiyo inawezekana ktk ndoto tu
 
Back
Top Bottom