Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
hakuna aliyefaidika ila aliyetarajia kuwa maarufu lengo lake halijatimia na haliwezi kuja kutimia asilani kwani umaarufu ndiyo kwanza bado unazidi kuporomoka kwa speed ya roketi!
[HASHTAG]#2020njooharaka[/HASHTAG] chini ya [HASHTAG]#NEChuru[/HASHTAG]
Basi kama ni hivyo haina maana yoyote kama hakuna akiyefaidika, nilifikiri hizi furaha zenu zinakwenda sambamba na faida ya kupanda kwenu.