hakuna aliyefaidika ila aliyetarajia kuwa maarufu lengo lake halijatimia na haliwezi kuja kutimia asilani kwani umaarufu ndiyo kwanza bado unazidi kuporomoka kwa speed ya roketi!
[HASHTAG]#2020njooharaka[/HASHTAG] chini ya [HASHTAG]#NEChuru[/HASHTAG]
Umaarufu sio kwamba haupo..hata dr shika ni maarufu..sema KUKUBALIKAhakuna aliyefaidika ila aliyetarajia kuwa maarufu lengo lake halijatimia na haliwezi kuja kutimia asilani kwani umaarufu ndiyo kwanza bado unazidi kuporomoka kwa speed ya roketi!
[HASHTAG]#2020njooharaka[/HASHTAG] chini ya [HASHTAG]#NEChuru[/HASHTAG]
Kumbe mnajua kachuja, kama pamoja na kuleta mapangaboy, dreamline, kujenga sgr, bado anaporomoka mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize kuna tatizo mahali, lkn kama hazimo kama mleta mada ataona ni jambo la kawaida tu.
Serikali huwa haiendeshwi kwa ujanja ujanja ina principal zake ukizikiuka utaonekana kituko mbele ya jamii inayojielewa.
yeah....for now.Basi kama ni hivyo haina maana yoyote kama hakuna akiyefaidika, nilifikiri hizi furaha zenu zinakwenda sambamba na faida ya kupanda kwenu.
upo sahihi. nilikuwa najibu swali alilouliza mdau!Umaarufu sio kwamba haupo..hata dr shika ni maarufu..sema KUKUBALIKA
tulia dawa ipenyeNaona baadhi ya watu wanafurahia tafiti zinaonyesha kwamba umaarufu wa Raisi wetu ,,umeporomoka” silipingi hilo ila ningependa kujua nani kanufaika? Yaan kama umeporomoka kwa Raisi ni lazima umepanda kwa mwingine sasa ni yupi huyo na kwa kiasi gani umaarufu wake umepanda?
Hakuna aliyenufaika zaidi ya uchumi wa wananchi kuporomoka kama rais anavyoporomoka,Lkn ni lazima mwingine anufaike na ,,kuporomoka” kwa umaarufu wa Raisi wetu, sasa ni yupi huyo aliyefaidika na kwa kiasi gani umaarufu wake umepanda?
unachekesha,kwani utafiti ulipofanyika 2016 Kuwa anakubalika kwa 96% alikuwa kashindanishwa na nan?Ili muwe na sababu ya kufurahia ni lazima pia mtuambie umepanda kwa nani vinginevyo hakuna maana yoyote!
Hakuna aliyenufaika zaidi ya uchumi wa wananchi kuporomoka kama rais anavyoporomoka,
ukiwa na rais unpopular hasara yake kimataifa ni nchi kuwa unpopular.
unachekesha,kwani utafiti ulipofanyika 2016 Kuwa anakubalika kwa 96% alikuwa kashindanishwa na nan?
Akiwemo rais wetu?Kama ni hivyo basi mtakuwa ni wajinga wa mwisho Dunia hii!
mm nakumbuka walisem upinzani unaungwA mkono na wasomi, vijana na wenye elimuWalisema pia Upinzani walikubalika kwa kiasi gani na hizo tafiti zilipingwa sana na Upinzani.
hahah hebu kunywa castle lager mbili kwa mangi nitalipaAkiwemo rais wetu?
Wananchi ndio tutakaoweza kunufaika,kama Rais atakuwa na hekima basi ataangalia kwanini imekuwa hivyo na atarekebisha kuendana na wananchi wanavyotaka!Hii ndio faida ya hizi tafiti,zinaonyesha uhalisia ili mabadiliko chanya yafanyike!Naona baadhi ya watu wanafurahia tafiti zinaonyesha kwamba umaarufu wa Raisi wetu ,,umeporomoka” sipingani na hizo tafiti kwani sielewi walivyofanya tafiti zao, ila ningependa kujua nani kanufaika? Yaani kama umeporomoka kwa Raisi ni lazima umepanda kwa mwingine sasa ni yupi huyo na kwa kiasi gani umaarufu wake umepanda?
Alipokuwa na umaarufu 96% nani alifaidika?Naona baadhi ya watu wanafurahia tafiti zinaonyesha kwamba umaarufu wa Rais wetu umeporomoka.
Sipingani na hizo tafiti kwani sielewi walivyofanya tafiti zao, ila ningependa kujua nani kanufaika?
Yaani kama umeporomoka kwa Rais ni lazima umepanda kwa mwingine. Sasa ni yupi huyo na kwa kiasi gani umaarufu wake umepanda?