UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Twaweza is an independent East African initiative that was established in 2009 by Rakesh Rajani, a Tanzanian civil society leader who founded HakiElimu and served as its first executive director until the end of 2007. Twaweza’s approach and theory of change is built on the lessons from the HakiElimu experience, as well as wide ranging conversations across East Africa conducted through 2008 and a review of the literature. Hivos provided the incubation space for Twaweza’s development, and housed the initiative during its first strategic period. Twaweza East Africa is currently registered in Tanzania as a non-profit company (company limited by guarantee with no share capital)with certificates of compliance to operate in Kenya and Uganda.

Twaweza’s approach and its policies, systems and procedures reflect a set of values around effective and transparent governance. Five key values and principles guide our work: effectiveness and accountability; transparency and communication; ethical integrity; reflection and learning; and responsibility and initiative.

For more information about us, read our brochure here.
 
Katika nchi ambayo wananchi wengi ni wavumilivu sana hata pale wanapoonewa, serikali na chama tawala vina nguvu kama Tanzania, na upinzani umedhoofika sana, rais kukubalika na 55% ya watu tu, tena mapema hivi katika uongozi wake, niishara kwamba ameharibu mambo vibaya sana.
 
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!
Uzi haujasema utafiti ni reliable, uzi umesema kwamba utafiti umeonesha rais anakubalika kwa 55%.

Hayo nimasuala mawili tofauti.

Kama unaubishia utafiti, fanya wako halafu toa figures zako sahihi, utuoneshe na njia ulizotumia.
 
Nimependa sana coments za Ulimwengu, kwa kawaida binadamu hataishi kwa mkate tu, uhuru wa kifikra na kimtazamo ni muhimu sana.

Tanzania haiwezi kuendesha mambo yake in 'isolation', lazima ipambane na nchi nyingine duniani katika kujiletea maendeleo kwenye wakati huu wa utandawazi, kitu muhimu katika mapambano hayo ni Raslimali watu yenye uwezo mkubwa wa negotiations na convincing power; Uwezo huo unakuwa 'practiced' nyumbani kwanza; kwamba ukiwabana sana wananchi wako, siku wakiwa-'exposed' duniani kwenye mijadala ya mashindano (mfano kiuchumi) watashindwa hoja.

Hii iko wazi, kote duniani nako kwenda 'idadi' ya Watanzania wanaofanya kazi (kuajiriwa au kujiajiri) ni ndogo sana ukilinganisha na majirani zetu (hasa wakenya), hii ni reflection ya mambo yalivyo nyumbani.

Ni vyema matokeo haya yakawa chachu ya kutoa uhuru na haki ya kujieleza kuliko vinginevyo.
 
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!
matokeo yalipokuwa 96% hukusema uzi ufutwe; leo matokeo 55% unasema uzi ufutwe; bado kuna miaka mbele...... siku yakija 25% utasema JF ifutwe wakati wao sio waliotafiti
 
Nawaza tu kama tafiti hizi zikirudia mikoa ya kusini hivi leo baada ya kutishiwa kuvuno shangazi zao matokeo yatakuwaje!!!
 
Mbo
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!
Mbona mipovu! Evaluation ni muhimu kwa kila hatua katika jambo lolote! Tatizo la ccm hamuupendi ukweli na hasa unaohusu demokrasia. Badala ya kumshukuru aliyefanya utafiti huu unakazana ufutwe! Siyo sahihi sana kuifuta bali ccm kakaeni na dr Bana mlete utafiti wenu kwani tafiti hupingwa kwa tafiti na siyo kuufuta!
 
Mimi matokeo ya utafiti huu hayanishangazi kabisa.Watanzania tulifika mahali tukaona kwamba upigaji,utapeli,corner corner na madili ya kila aina ndiyo style ya maisha.Magufuli amekuwa shock to most Tanzanians.
Watanzania tuliowengi tuliamini mwanzoni kwamba he wouldn't go this far,and hence the high ranking initially!Hata hivyo ukweli umekuwa tofauti kabisa na expectations za wengi.Watu wengi upigaji, utapeli,corners na madili yao yamekatiliwa mbali to their surprise and hence the change of heart towards him.Frankly to me Magufuli anafanya vizuri sana,tatizo ni Watanzania.Kiukweli
Watanzania
tunahitaji kubadilisha our mindset, so that we can clearly perceive what is good for us.Kwa sasa most of us do not know what is best for us.Very sad indeed.
 
Hivi walipata kibali cha kufanya utafiti, na nani kawapa kibali cha kuchapisha huo utafiti?? Ningekuwa mimi NBS basi ningewashitaki hawa . Utafiki wa kiongo kabisa huu
Ndio mlicho baki nacho kutisha watu
Mambo kama haya yanasaidia kujitafakali wapi tunakosea tujirekebishe nyie mnakalia ushabiki .
 
Back
Top Bottom