UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Kama hakupata baraka za wakubwa kushiriki katika uwasilishaji wa ripoti hii ya utafiti, basi ajue tu anaweza kupoteza kibarua chake wakati wowote kuanzia sasa.

Nina wasiwasi sana kama aliruhusiwa.

Mtapata tabu sana kumu-impress.
 
Kama hakupata baraka za wakubwa kushiriki katika uwasilishaji wa ripoti hii ya utafiti, basi ajue tu anaweza kupoteza kibarua chake wakati wowote kuanzia sasa.

Nina wasiwasi sana kama aliruhusiwa.

Mtapata tabu sana kumu-impress.
Picha please,..
 
Watatumbuliwa hawa TWAWEZA muda si mrefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 803036

Swali #8 item namba 3 inaonyesha ZITTO ana mkataba wa ushauri na TWAWEZA, unategemea data zitakuwaje kama sio za kupika! Na hiyo ni fomu ya tamko la raslimali na madeni.
Sasa yeye hajaficha haya rais wako atuambie iko wapi 1.5T. Ili tumuamini yeye tuachane na Zitto. Atuambie kishika uchumba cha Accacia kiko wapi na zile hela za faini baada ya kutupiga ili tusiwaamini hawa tumuamini yeye.
 
Nilivyona kuwa nanyeye yupo na kaisifia report.
Nikajua hili jambo limeiva..
Pole pole mambo mengi anaigiza ila moyoni anajua kabisa kuwa roho yake ipo against. Na yy ni mwanaharakati.
Kuitetea serikali ni maigizo tu
 
Nilivyona kuwa nanyeye yupo na kaisifia report.
Nikajua hili jambo limeiva..
Pole pole mambo mengi anaigiza ila moyoni anajua kabisa kuwa roho yake ipo against. Na yy ni mwanaharakati.
Kuitetea serikali ni maigizo tu
Sina uhakika sana na hili unalolisema.
 
Sio kweli huku Burundi Arusha hakuna rais anayependwa kama magufuli.

Pombe oyeeeeee

Acha Wana Wanywe Pombe = WWB
 
Binafsi naona hata 55 amependelewa.!
 
Halafu unakuta hao waliohojiwa wote ni Wanachama wa vyama vya upinzani pamoja na viongozi wao, kwahiyo ukijumlisha sasa na wale ambao wanamuunga mkono ila hawakuhojiwa unakuta percentage ipo around 96%.
kwani wakat wanahojiwa walikuwa wanaonyesha kadi za vyama vyao.
 
Hizi tafiti zipo kwaajili ya kuwa fariji vijana wa UFIPA, 2020 Magufuli atashinda kwa 81%
Anaweza kushinda kwa asilimia 100% hilo linawezekana kabisa, ila huwa hawataki tu maana zitazua maswali mengi.
 
Kwenye forex hiyo grafu inavyoshuka ... unatakiwa U-sell , sell , sell baba maana 'support' ishavunjika ... wale wa forex nadhani mnanielewa ... sell CCM ...
 
Nyinyi endeleeni na hizo takwimu uchwara! sisi hata tukifukuza wabunge wote..column tunayo! Na ole wake Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kama mshindi wa ubunge au udiwani, atafute kazi kwingine!

Tutamuelewa tuu Jiwe. Hakuna namna!
Taarifa kama hizi ni kwa watu wanojua kuchambua mambo na wenye fikra pana. hapa hakukufai wewe pita tu kwani huwezi kuelewa kwani akili yako ni 'nyembamba' mno.
 
Kama hakupata baraka za wakubwa kushiriki katika uwasilishaji wa ripoti hii ya utafiti, basi ajue tu anaweza kupoteza kibarua chake wakati wowote kuanzia sasa.

Nina wasiwasi sana kama aliruhusiwa.

Mtapata tabu sana kumu-impress.
2020 naziona hizooo CCM Asilia vs CCM Academia....
 
Back
Top Bottom