Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Imeiva.Unajua lkn kutafsiri takwimu au mwalimu wako wa hesabu ni polepole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeiva.Unajua lkn kutafsiri takwimu au mwalimu wako wa hesabu ni polepole.
Ikimaliza wiki toka leo bahati ha ha haHi Taasisi itapigwa marufuku hapa nchini kwa uchochezi!
kutoka ,,kukubalika 96% hadi 55% ni vizuri eeh,duhBawacha hawataki kabisa kusikia....hiii hahahaha
Ila URUFUFURais wetu alishasema hakwenda Ikulu kutafuta umaarufu
Wewe ndio usome vizuri....Magufuli ana kubalika kwa 55% kwa hiyo hatAngea ingelikuwa ni uchaguzi lazima angelishinda kabisa.....halafu CCM haihitaji utafiti ili kushinda Uchaguzi ...ccm kushinda uchaguzi ni lazima
Vipi inekua 99% ungesema ifutwe!?
Walielezea kweli kabisa, lakini hata ripoti ya wathamini SGS pia walielezea sasa kinachofanya serikali kukataa mchunguzi huru ni nini?Salary Slip unajua ninavyokuheshimu kama GT. Ule utafiti kama ulipata nakala yake au ulimsikiliza yule presenter, walionesha jinsi walivyochukua sample, walieza jinsi walivyo fikia conclusion, na waliefafanua zaidi reliability na validity ya matokeo ya utafiti wao. Labda kama wewe umeamua kuvaa miwani ya mbao na kuachana na fikra za GT.
Huu uzi nasisitiza ufutwe haraka Mod Two
Sasa atawapa CCM wakati mgumu mno kuliko ule wa 2015.Rais wetu alishasema hakwenda Ikulu kutafuta umaarufu
Halafu magazeti na tv zilizo onyesha mabox yakitolewa na kurudishwa yakapewa onyo!Kwa hili uko sawa kabisa. Sasa kama inaweza kutoka na mabox ya kura na kuyarudisha yakiwa na kura za ccm mbele ya polisi wataacha kushinda?
Na ndio wengiBado Ccm inabebwa na wasiokua na elimu.
Uweke humu tuuoneutafiti wa kupika huu utafiti wa ukweli ni wa redet tuu