UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Hizi tafiti zipo kwaajili ya kuwa fariji vijana wa UFIPA, 2020 Magufuli atashinda kwa 81%
 
Hivi walipata kibali cha kufanya utafiti, na nani kawapa kibali cha kuchapisha huo utafiti?? Ningekuwa mimi NBS basi ningewashitaki hawa wahuni. Utafiki wa kiongo kabisa huu
Hahahaaaa,mwaka 2016 utafuti ulipoonyesha Jiwe anakubalika kwa 96% mliufagilia,Leo kashuka mpaka 55% mnaona ni utumbo mpaka uahoji kibali cha utafiti!
 
Hizi takwimu mbona mbaya sana, sasa ikifika 2020 si itakua hatari kabisa
Kwa trend hiyo ndani ya miaka miwili na nusu ya kushuka kwa asilimia 41% maana yake ni kuwa ndani ya miaka mingine miwili na nusu ukishusha kwa 41% kutoka 55% utabaki kuwa anakubalika hapa nchini kwa 14% tuu!
Nimeangalia nikasema hiiiiiiiiii!
 
Kwa trend hiyo ndani ya miaka miwili na nusu ya kushuka kwa asilimia 41% maana yake ni kuwa ndani ya miaka mingine miwili na nusu ukishusha kwa 41% kutoka 55% utabaki kuwa anakubalika hapa nchini kwa 14% tuu!
Nimeangalia nikasema hiiiiiiiiii!
Hii inaogopesha, ni wakati wa kujitafakari, kuna kitu mahali hakijakaa sawa
 
Hivi walipata kibali cha kufanya utafiti, na nani kawapa kibali cha kuchapisha huo utafiti?? Ningekuwa mimi NBS basi ningewashitaki hawa wahuni. Utafiki wa kiongo kabisa huu
Na vipi kama mkuu angemantain, ungeshauri NBS wawashitaki?
 
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!
Kasome report yote hivyo vitu vipo
 
Hivi walipata kibali cha kufanya utafiti, na nani kawapa kibali cha kuchapisha huo utafiti?? Ningekuwa mimi NBS basi ningewashitaki hawa wahuni. Utafiki wa kiongo kabisa huu

Wakati wa tafiti za mwanzo iliposemekana anakubalika ni kipindi wananchi wanalishwa matango pori ya story za makinikia na kwamba kila mtu atapata noah baada ya wazungu kulipa. Baadae wananchi wamegundua ni hadaa ya siasa nyepesi. Kipindi hicho wananchi wanaambiwa inajengwa reli ya SGR, leo hii hata kuzungumzia hiyo SGR imefikia % ngapi ni aibu.

Kipindi hicho wananchi walikuwa wanadanganywa kunajengwa mradi wa SG kwa ajili ya umeme na eti hela ipo. Baadae wanashangaa kumbe ni hela ya kukopa na yenywe hakuna uhakika wa kuipata. Siku nazo hazigandi ukweli uko wazi kwa wananchi, maisha magumu, ajira hakuna bali wanashuhudia pesa zao kuporwa, mara 1.5t hazionekani. Hapo asilimia zitaacha kushuka?
 
Halafu unakuta hao waliohojiwa wote ni Wanachama wa vyama vya upinzani pamoja na viongozi wao, kwahiyo ukijumlisha sasa na wale ambao wanamuunga mkono ila hawakuhojiwa unakuta percentage ipo around 96%.
Umesoma hiyo report ukaona sampuli ilikuwa ni upinzani tu au unaongea kwa hisia?
 
Wewe ndio usome vizuri....Magufuli ana kubalika kwa 55% kwa hiyo hata ingelikuwa ni uchaguzi lazima angelishinda kabisa.....halafu CCM haihitaji utafiti ili kushinda Uchaguzi ...ccm kushinda uchaguzi ni lazima


Kwa hili uko sawa kabisa. Sasa kama inaweza kutoka na mabox ya kura na kuyarudisha yakiwa na kura za ccm mbele ya polisi wataacha kushinda?
 
Back
Top Bottom