squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Tunaelekea kuzuri. Lazima watu waliopofushwa akili ziwarudi. Tuendelee kuliombea taifa, tuko kwenye raiti trak.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unashangilia nini hapa? Kutoka 96 mpaka 55 ndani ya miaka 2, miaka 2 ijayo itakuwa asilimia chini ya 10.Bawacha hawataki kabisa kusikia....hiii hahahaha
Ndio maana jana kawaita wazee? mnajua utafiti huo ni watanzania hao! kwa hiyo inahusisha hata mabaka mabakaTena nafikiri huu utafiti ukifanyika hivi sasa..jpm yupo chini ya 40% kwenye kukubalika utendaji wake..
Uzuri hili hata yeye analifahamu..
Nchi inaongozwa na mwehu.
Rais wetu alishasema hakwenda Ikulu kutafuta umaarufu