Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Unajua lkn kutafsiri takwimu au mwalimu wako wa hesabu ni polepole.
Ngoja kwanza wenzie wamtafisisrie ndio utaona anavyogeuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua lkn kutafsiri takwimu au mwalimu wako wa hesabu ni polepole.
Wewe ndio usome vizuri....Magufuli ana kubalika kwa 55% kwa hiyo hata ingelikuwa ni uchaguzi lazima angelishinda kabisa.....halafu CCM haihitaji utafiti ili kushinda Uchaguzi ...ccm kushinda uchaguzi ni lazimaHebu soma vizuri kwa makini, usikimbilie tu kusema Bawacha.
not some where.....to your brain..Something is wrong somewhere .........!!
Ule uchunguzi wa kamati za makinikia uliwahi kuonyesha jinsi ulivyofanyika?
Utafiti wa Sauti za Wananchi, Awamu ya 27 wa Aprili 2018 umebaini 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani 2015.
Kukubalika huku kumepungua kutoka 96% mwaka 2016 na 71% mwaka 2017
Kiwango cha kukubalika kwa Rais kimeshuka kutoka kwenye rekodi ya juu kuwahi kuwekwa na Rais wa Tanzania mpaka rekodi ya chini tangu takwimu hizi zianze kukusanywa mwaka 2001.
Wazee (71%) kwa kiwango kikubwa wanaukubali utendaji wa Rais, huku wenye umri wa miaka 18-29 (46%) wakiukubali kiasi.
Wanawake (57%) wanaukubali utendaji wa Rasi kuliko wanaume (53%) na wasio na elimu (58%) wanaukubali zaidi kuliko wenye elimu ya juu (47%)
Kukubalika Vijijini
Mwaka 2017, wananchi wa vijijini (72%) waliukubali zaidi utendaji wa Rais kuliko wale wanmijini (70%)
Takwimu hizi zinaonesha kukubalika kwa utendaji wake kumeshuka zaidi vijijini kutoka 72% hadi 52% ukilinganisha na mijini 70% hadi 59%
Je, hii inaashiria nini kwa uongozi wa Rais Magufuli?
Salary Slip unajua ninavyokuheshimu kama GT. Ule utafiti kama ulipata nakala yake au ulimsikiliza yule presenter, walionesha jinsi walivyochukua sample, walieza jinsi walivyo fikia conclusion, na waliefafanua zaidi reliability na validity ya matokeo ya utafiti wao. Labda kama wewe umeamua kuvaa miwani ya mbao na kuachana na fikra za GT.Ule uchunguzi wa kamati za makinikia uliwahi kuonyesha jinsi ulivyofanyika?
Mbona mlikuwa mnasifia tu bila kuhoji?
Iweje leo uhoji huu utafiti kama ile ripoti mliisifia pasipo kuona ripoti nzima?
Ovyooo!!
Sasa Mods waufute Uzi kwa kisa gani??
Kumbe JPM aliyapata matokeo ya utafiti huu ndio maana akaita wastaafu waende kumshauri!Hii deceleration sio mchezo!Bawacha hawataki kabisa kusikia....hiii hahahaha
Habari ndiyo hiyo .... chart inazidi kushuka ............!!not some where.....to your brain..
Magufuli still leading the chart