hapo jibu ni c kwani kuna umuhimu gani kupakwa mafuta wakati kazi yake ni kukaa tuHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Mkuu eti imagine mwanaume ulainishe kalio!!?Unapaka ili kulainisha nini sasa?
ImagineDuh....dume zima unaanzaje kupaka mafuta kwenye 'maketio'? Na vile yamejaa manywele!😀😀
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Acha kutudhalilisha bana...Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
in anko magu's voice aiseeKuna kitu mnakitafuta kwetu,endeleeni mnafikiri mna uhuru sanaaa,not to that extent.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dume zima uteleze nini? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Huo unga ndo uanaume wenyewe..sasa dume zima uteleze makalio si maajabu haya