UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

hapo jibu ni c kwani kuna umuhimu gani kupakwa mafuta wakati kazi yake ni kukaa tu
Mbaya zaidi unaweza ukakalia vitu vyenye ncha kali kutokana na changamoto ya vikalio vingi kuanzia mabenchi mpaka seat za daladala ni majanga (mwanamume hutakiwi kupiga kelele ya kugugumia maumivu)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umetisha mkuu,

Watakao pinga basi tutapigia mstari hupaka mafuta ktk makalio yao mara kwa mara ili yawe laini kama mgongo wa konokono wa ibambase,
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Dah...Usichokijua 30% ya wanaume wa huo umri hufanya masaji ya mwili mzima....
''You are fake researcher'' ( Kwa sauti ya Trump).....
 
Hiyo 1% nadhani ndio mashoga,biashara ya kuchezea matako ni mwanzo wa ushoga huo.
 
Back
Top Bottom