La mujar
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,586
- 1,790
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Na ule mfereji wa makalio haujawahi oshwa vyema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Na ule mfereji wa makalio haujawahi oshwa vyema.
Mbaya zaidi unaweza ukakalia vitu vyenye ncha kali kutokana na changamoto ya vikalio vingi kuanzia mabenchi mpaka seat za daladala ni majanga (mwanamume hutakiwi kupiga kelele ya kugugumia maumivu)hapo jibu ni c kwani kuna umuhimu gani kupakwa mafuta wakati kazi yake ni kukaa tu
Teh teh teh i hope Queen anataniaMbaya zaidi unaweza ukakalia vitu vyenye ncha kali kutokana na changamoto ya vikalio vingi kuanzia mabenchi mpaka seat za daladala ni majanga (mwanamume hutakiwi kupiga kelele ya kugugumia maumivu)
Mwe mwe mwe chanzo cha kulainisha makalio yangu nini?
Duh....dume zima unaanzaje kupaka mafuta kwenye 'maketio'? Na vile yamejaa manywele!😀😀
Hahahaa!Unapaka ili kulainisha nini sasa?
Dah...Usichokijua 30% ya wanaume wa huo umri hufanya masaji ya mwili mzima....Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
hahahahahaHuu utafiti umeufanya wewe mwenyewe?
Naomba kuwa kwenye sample pia!
Wanatafuta urahisi wa kupitisha vitu vigumu mkuu.aisee ndio nimejua leo kumbe wanawake mnapakaga mafuta kwenye misambwanda yenu???
mnatafuta nini huko???
(e) hakuna jibu