Kumbe mnapaka siyo matako tu bali hadi matakoni[emoji15] [emoji15]Kama Leo nimepakaa queen Elizabeth mafuta mazuri kwa baridi matakoni
Na wengi wako hawaachi tabia zao za utotoni..mfano kutembea ndani uchi,kuoga kwa manati,kukojoa popote pale,mengine muongezee hapa
Big up man...thats the spirit!!
Man!! Really!? Does he even sound like one!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Big up man...thats the spirit!!
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]Na wengi wako hawaachi tabia zao za utotoni..mfano kutembea ndani uchi,kuoga kwa manati,kukojoa popote pale,mengine muongezee hapa