UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Mwanaume unahangaika na kupaka mafta huko? Ili iweje sasa? Mwanaume ni kazi kazi hakuna kulemba kikubwa hakikisha hujavaa mitepesho ma umevaa nguo za heshima, kama ni mtu wa ofisini hakikisha huna majasho maan mule ni kalamu na karatas na computer
 
Na wengi wako hawaachi tabia zao za utotoni..mfano kutembea ndani uchi,kuoga kwa manati,kukojoa popote pale,mengine muongezee hapa

hizo bold mi hapana kwakweli,joto linanitesa sana na sijisaidii popote..ila hilo lingine nikiwa ndani kwakweli,haswa kama kuna jinsia pinzani....ni vyombo vitup tu!
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta

Ha haaaa unataka wamlainishie nani njia anayekuja kupita pande hizo ?
 
Ha haaaa unataka wamlainishie nani njia anayekuja kupita pande hizo ?
Kwani makalio ni njia ya nini? Mimi najua hiyo njia iko katkat ya makalio...mimi naongelea makalio mkuu
 
Hahahaha huu uzi umeiumiza mbavu, ukitaka kuungana babu zako waliotangulia mshike mwanaume tako, labda awe jamii ya kaoge ndo atakuacha
 
Tukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...

Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...
 
Back
Top Bottom