UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Huu uzi upelekwe Instagram inawahusu akina Delicious huko. Uweke mafuta makalioni halafu usafiri wa mwendo kasi, sikutwa missile ya north Korea ikafanya uhalifu kwa dume mwenzio.[emoji35]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

Hili swali lako nadhani halina tofauti na kuuliza hivi ni kwanini Mwanamke yoyote akikojoa ni lazima ' achuchumae ' au ajipinde ' mgongo ' kama Ng'ombe ' Ndama ' wakati Wanaume wao ' hutiririsha ' tu ' Kojo ' lao kwa kusimama?
 
Yani mimi nikushike matako na wewe unishike, nani mwanaume nani anamlipa mwenzake
 
Kawapake kakazako na nduguzo wa kiume tu..huku BIG NO
 
Kuna kitu unakitafuta wewe na hayo mafuta matakoni.
Angalia wasifumue marinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…