UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Huu uzi upelekwe Instagram inawahusu akina Delicious huko. Uweke mafuta makalioni halafu usafiri wa mwendo kasi, sikutwa missile ya north Korea ikafanya uhalifu kwa dume mwenzio.[emoji35]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
tukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...
Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........

Hili swali lako nadhani halina tofauti na kuuliza hivi ni kwanini Mwanamke yoyote akikojoa ni lazima ' achuchumae ' au ajipinde ' mgongo ' kama Ng'ombe ' Ndama ' wakati Wanaume wao ' hutiririsha ' tu ' Kojo ' lao kwa kusimama?
 
Kawapake kakazako na nduguzo wa kiume tu..huku BIG NO
 
Kuna kitu unakitafuta wewe na hayo mafuta matakoni.
Angalia wasifumue marinda.
 
2a76aaf1e3db5916d613299bbc27aa54.jpg
 
Back
Top Bottom