UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Mwanaume ugumu ndio sifa yetu..nipakae mafuta huko nataka kugundua nini labda
 
Dah kuna shughuli....so unanishauri niwe na matako laini kweliiii.....mas,hara hayo
 
Tako la kiume liwe laini? tena huyu
Atakuwa shemale sio bure na huyo bwanake asipoangalia awezapigwa dole kimasikhara... Wanaanzanga hivyo
 
Yaani niweke mtelezo kwenye makalio, utani hu
 
Sio kweli, tumuulize Harmorapper tuhakikishe..!!
 
Mama unatisha!!!

Jumla umekagua wanaumme wangapi hadi kutoa malalamiko haya!!
 
we wacha masihara...hivi hata tuwe tunanyoa minywele ya kule?
 
Nimefungua harakaharaka huu uzi nilipoona neno 'makalio' nikajua mada itawahusu KE.

Mtu unaanzajeanzaje kujadili kalio la ME. halijadiliki.
 
Kalio la mwanaume wa kiafrika sharti liwe gumu ka jiwe ila mtoto wa kike lainisha kalio lako coz wew ni kiburudisho cha watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…