UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Ahaaa mbu wote wanakufa kwa harufu??hii ni balaa
 
Dah najaribu kuwaza, kama haka kaobservation kako ni kwa-ukweli inabidi nikusalimie, hivi ulitumia sampuli ya wanaume wangapi vile?
 
We unayako afu unaonekana kicheche mkuu haiwezekani uwaone wote hawapaki mafuta je walikuonesha wap makalio yao
 
Kwan unaanzaje kwa mfano kunipapasa makalio mpaka uyaone magumu? Usithubutu ntakutoa meno ya sebreni
 
tukiachana n nadhifu kwa mav jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
Ushampa mmeo lile penzi???Umetembea na wanaume wangap hadi uje ulalamike???mwanaume upake mafuta unahatarisha marinda
 
mkuu hapa sijaelewa unamaanisha wote au baadhi?
 
Weee hayo yakupakwa mafuta ili iweje? Unamkaribisha shetani na wapambe wake kina pepo mchafu, popo bawa na majini ujue hivyo
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji144] [emoji81] [emoji81]
 
amanda cute kuna vitu unachanganya hapa
Je sababu ya kumchuna mwanaume ni kwa vile hapaki mafuta makalioni? Ama kunuka mdomo ama kuwa mchafu ama kunuka miguu?
Kwanini usiwe na wako mmoja ukamshape? Mpaka akakaa sawa kwa viwango vyako? Hili linawezekana kabisa.. Ila ukiendelea na hii bandika bandua utakuja kubeba visivyobebeka hasa nuksi na mikosi
yote haya kila siku yaishie makalioni [emoji144] [emoji144] [emoji144] tuhurumie dada kalio la kiume halifai kuwa nyoronyoro
 
Mi hata mke wangu siruhusu anipapase makalio, sasa nipake wese LA nin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…