martinsindani
Member
- Aug 18, 2016
- 22
- 3
Sasa ww unataka wajipake kutafuta nn??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unayako afu unaonekana kicheche mkuu haiwezekani uwaone wote hawapaki mafuta je walikuonesha wap makalio yaotukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...
Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
Kwan unaanzaje kwa mfano kunipapasa makalio mpaka uyaone magumu? Usithubutu ntakutoa meno ya sebrenitukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...
Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
Ushampa mmeo lile penzi???Umetembea na wanaume wangap hadi uje ulalamike???mwanaume upake mafuta unahatarisha marindatukiachana n nadhifu kwa mav jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
We unayako afu unaonekana kicheche mkuu haiwezekani uwaone wote hawapaki mafuta je walikuonesha wap makalio yao
mkuu hapa sijaelewa unamaanisha wote au baadhi?tukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...
Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
Mi hua napaka losheni ya Vaseline Cool for men kwaajili ya kutunza ngoziwewe unapakaga? Kwa majibu haya ya wanajamvi ni kweli hawapakagi mafuta
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji144] [emoji81] [emoji81]Weee hayo yakupakwa mafuta ili iweje? Unamkaribisha shetani na wapambe wake kina pepo mchafu, popo bawa na majini ujue hivyo
amanda cute kuna vitu unachanganya hapatukiachana na madhaifu mengi wanaume walio nayo ya kuonekana nadhifu kwa mavazi ila wengi wao wakioga huwa wanajipaka tuu mafuta usoni na mikononi na miguuni tuu huku unaweza toka na mwanaume mkiwa faragha wakati wa kupapasana ukakuta mwili mgum kama ngozi ya mamba mwanamke huenjoy aukutapo mwili wa mwanaume ukiwa nadhifu huku ukimpapasa kwa mikono ikawa inateleza maridadi kabisa wanaume wengine utakuta kwenye makalio yamepaukaa hii inadhihirisha ni jinsi gani hawajipaki mafuta pindi watokapo kuoga...
Wanawake tunavumilia mengi kwa uchafu wa baadhi ya wanaume jamani hasa wale ambao wananuka midomo au wale wakivua soksi hata kama kuna mmbu wote wanakufa jamani tuacheni tuu wanawake tuwachune tuu ela maana tunavumilia mengiiiiiiiiiiiii...........
Hapana kasema makalioniHehehehe nipake mafuta matako mbona mna utani
Wengine bila kushika huko mzuka badoHehehehe nipake mafuta matako mbona mna utani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Yaaani mwanaume mzima umalize baby care kupaka Kalio? Dah
Mi hua napaka losheni ya Vaseline Cool for men kwaajili ya kutunza ngozi