UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Nikweli Mimi mwenyewe sikumbuki mara ya mwisho kupakaa mafuta lini nasio kwamba sipaki mafuta viungo vingine ila sehemu hiyo huwa sinaga mazoea ya kupaka labda na usingle Pia inaweza ikawa inachangia sababu ni sehemu nyeti bila kukumbushwa na mwenzako huwezi kumbuka
 
Mfundishe kwanza mwanaume wako akinufaika atakuwa mwalimu mzuri wa kumfundisha mwengine
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Mimi sijawahi paka mafuta kabisa.

Mwanaume kupaka mafuta makalioni ni dalili za USHOGA

Sent using Sukhoi Su-57
 
Mimi sijawahi paka mafuta kabisa.

Mwanaume kupaka mafuta makalioni ni dalili za USHOGA

Sent using Sukhoi Su-57
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Umeamua mwenyewe kuja kutuchokoza au kuna mtu amekutuma?
 
Back
Top Bottom