[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] harudi tena huyo mkuu.Kujishika shika makalio kila siku ni dalili za ushoga, unatakiwa utusifu kwa urijali, kwa tafiti zako ina mana asilimia 99 ya wanaume sio mashoga, sasa toa na takwimu za wanawake wanaojipaka mafuta kwenye makalio ili tujue wangapi hawana marinda.
kwa mfano?Wanatafuta urahisi wa kupitisha vitu vigumu mkuu.
[emoji23]Huo unga ndo uanaume wenyewe..sasa dume zima uteleze makalio si maajabu haya
Ana lake huyuSasa wew uko kwenye makalio ya mwanaume ulikua unatafuta nini bhana khaa? ?
(c)Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Hahahaha...! mbavu sinaHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
HahahaHuo unga ndo uanaume wenyewe..sasa dume zima uteleze makalio si maajabu haya
Kupakapaka mafuta makalioni ndio mwanzo wa ushoga, mwanaume inatakiwa awe mkavu na mgumu. naanzaje kwa mfano kulainisha hayo maeneo.
Hata hivyo mwanamke ulianzaje kuwashika makalio hao vijana ulikutana nao mpaka unaanza na kuwakwangua?