UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Kujishika shika makalio kila siku ni dalili za ushoga, unatakiwa utusifu kwa urijali, kwa tafiti zako ina mana asilimia 99 ya wanaume sio mashoga, sasa toa na takwimu za wanawake wanaojipaka mafuta kwenye makalio ili tujue wangapi hawana marinda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] harudi tena huyo mkuu.
 
Maisha,..
Sipaki ili nilainishe?? Never..
Wanaume msije mkajaribu kuyapaka mafuta!
 
(c)
 
Hahahaha...! mbavu sina
 
Nitapakaje mafuta nipake mafuta Ili iweje kwa mfano?
 
Kupakapaka mafuta makalioni ndio mwanzo wa ushoga, mwanaume inatakiwa awe mkavu na mgumu. naanzaje kwa mfano kulainisha hayo maeneo.

Hata hivyo mwanamke ulianzaje kuwashika makalio hao vijana ulikutana nao mpaka unaanza na kuwakwangua?
 
Kupakapaka mafuta makalioni ndio mwanzo wa ushoga, mwanaume inatakiwa awe mkavu na mgumu. naanzaje kwa mfano kulainisha hayo maeneo.

Hata hivyo mwanamke ulianzaje kuwashika makalio hao vijana ulikutana nao mpaka unaanza na kuwakwangua?

Mimi ni nesi mkuu. Ni katika kuwachoma sindano tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…