Utafiti: Bara la Afrika kugawanyika, Tanzania kuhusika

Nikajua Tanzania itagawa bara la afrika kumbe bonde la ufa
 
Miaka elfu tano ni michache sana itafika haraka maana miaka ya siku hizi inapita kwa kasi ya ajabu. Juzi kati hapa ilikuwa majira ya masika mvua zinanyesha na sasa ni kiangazi tunaelekea vuli mvua zianze kunyesha tena. Muda ni mfupi sana
 
Hawa Ni vichaaa wao wajadili ushoga tu maaana ndo waupendao
Hata simu hiyo unayotumia ndyo hao hao vichaa wanaipenda wakakuletea wewe.

Satelite unazotumia kwenye mawasiliano, wao pia huwezi kuwatenga nazo.
 
hapo tutakufa na kufufuka bila hio hali kutokea.....
 
Ndo waliokupa simu, internet, Ndege na kila kitu unachotumia. Wewe umegundua nini?

Kuleta mambo ya ushoga kwenye mada isiyohusiana inaonyesha unawaza ushoga muda wote hence wewe pia ni shoga.
Akili zetu zimelala mkuu kuna wngne utasikia yesu atosha , yesu angetosha sizani kama ata apa tungekuwa tuna chati watu wasingefikiri njee ya box.
 
Miaka milioni tano ijayo dpnworld watakuwepo?
 
Hawa Ni vichaaa wao wajadili ushoga tu maaana ndo waupendao
Utakalia kuongea upuuzi tuu wakati wenzako wako serious na research, no wonder Trump akawaita shit hole [emoji874] countries...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…