Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Mbna wanawake wenzio wamethibitisha mkuu ?? Hebu jarib kufafanua tuone

Kuna wanawake wana low sex drive wengine high sex drive haonwenye low sex drive itakuwa wakati wa joto ndo hamu zinakuwa nyingi lakn hawa wenye high sex drive wenyewe kila siku hamu zipo na wakati wa Joto ndo hamu zinazidi zaidi.
 
Kuna wanawake wana low sex drive wengine high sex drive haonwenye low sex drive itakuwa wakati wa joto ndo hamu zinakuwa nyingi lakn hawa wenye high sex drive wenyewe kila siku hamu zipo na wakati wa Joto ndo hamu zinazidi zaidi.
Sawa umeelezea vzr,lakn pia kumbuka wanawake Mara nying huwa tunawaforce kufanya sex ila mkishaanza ataanza kuigiza kwa kujifanya kuwa anapata utam kumbe hamna,lakn Kuna sku huwa wanataka wenyewe
 
Ni wiki 6 tu ndio wanaita arobaini ya mtoto lakini hiyo ni lugha ya kikubwa sio arobaini ya mtoto ila ni mke kuwa tayari kwa mume wake ila watu wazima zamani kutumia lugha ya stara wakaita arobaini mtoto anatoka tech ni mke kuwa ready.
Sio sahih
 
Kwa mwanaume ni sawa,ila kwa mwanamke huwa anakuwa na nyege kwa kipind maalum, kinyume na hicho kpnd huwa tunawaingiliaga kwa kuwalazimisha tu.
Mbona unaongea kwa uhakika hivyo? Ni kweli ila si sababu ya pekee. Kuna siku ukimkumbuka tu mzee baba unalowa down there tena chapa chapa.

Kuna mambo mengi mfano;

1. huna stress, It happens kuna zile siku mtu unakuwa stress free, 0 worries labda kazi, biashara na familia ziko perfect.

2. Una kipato chako binafsi ambacho umeridhika nacho au umeweza kucontrol kuridhika nacho. Au umepanga mipango ya kipato ambayo unajua utaikamilisha tu ni suala la muda.

3. kama unampenda mwenza wako. Unampea bila conditions. Hii haiwahusu wauzaji au wenye expectations fulani fulani.

4. Maandalizi ya kutwa nzima, for me it works more kama tumespend time kwa masaa kadhaa kabla ya tendo, labda mchana kutwa, jioni ukimpea inakuwa very easy. Mambo yanajipa yenyewe tu.

5. kama hamna migogoro baina yetu.

6. Umri; wanawake katika umri wa kuwa mature huenjoy sex kuliko wasichana wadogo, nadhani tunapokuwa wasichana wadogo tunapenda ile idea ya kuwa na mwanaume, lakini hisia bado zinakuwa hazijamature. Kwahiyo kunakuwa na mixed feelings, unaweza kuhisi unafurahia kufanya kumbe unafurahia idea ya kumfurahisha mwanaume kingono. (hiki ni kitu cha mwanamke kujichunguza sana)

7; Ufundi kutoka kiumeni. (both science and art) mfano;
a) kitu gani kiguswe na kiguswe vipi, kwa nia njema mwanaume anaweza kuamua kugusa sehemu fulani ya mwili ikaishia kuwa turn off badala ya kuleta raha.

b) mwenza anatakiwa kujua personal preferences za mwenzake, si kila kitu kinafanya kazi kwa kila mtu. Better ask

c) dirty talks; kikawaida binadamu ukimsifia na akagundua unamsifia cha ukweli hufurahia, kwenye mapenzi hii inafanya mwanamke arelax, asiwe worried kama je huyu namfurahisha au ananivumilia tu? among of things vinatufanya tusienjoy mapenzi ni ile presha ya kutaka kufahamu kama tunaridhishana au lah, hizi fikra zinatutoaga kwenye reli.

8; Ovulation, Mahitaji ya mwili automatically hubadilika katika wakati huu. Sasa kwasababu kwa wanawake wengi vigezo 7 nilivyovianisha kabla havifikiwi, basi wengi husubiri kwa hamu kipindi hiki kwa kudhani ndio kipindi pekee cha kuenjoy mapenzi.

Mwanamke akiweza kutick box kadhaa kwa vipengele hivyo juu sexual pleasure na kukojoa vitakua her daily cup of tea/coffee.
 
Mbona unaongea kwa uhakika hivyo? Ni kweli ila si sababu ya pekee. Kuna siku ukimkumbuka tu mzee baba unalowa down there tena chapa chapa.

Kuna mambo mengi mfano;

1. huna stress, It happens kuna zile siku mtu unakuwa stress free, 0 worries labda kazi, biashara na familia ziko perfect.

2. Una kipato chako binafsi ambacho umeridhika nacho au umeweza kucontrol kuridhika nacho. Au umepanga mipango ya kipato ambayo unajua utaikamilisha tu ni suala la muda.

3. kama unampenda mwenza wako. Unampea bila conditions. Hii haiwahusu wauzaji au wenye expectations fulani fulani.

4. Maandalizi ya kutwa nzima, for me it works more kama tumespend time kwa masaa kadhaa kabla ya tendo, labda mchana kutwa, jioni ukimpea inakuwa very easy. Mambo yanajipa yenyewe tu.

5. kama hamna migogoro baina yetu.

6. Umri; wanawake katika umri wa kuwa mature huenjoy sex kuliko wasichana wadogo, nadhani tunapokuwa wasichana wadogo tunapenda ile idea ya kuwa na mwanaume, lakini hisia bado zinakuwa hazijamature. Kwahiyo kunakuwa na mixed feelings, unaweza kuhisi unafurahia kufanya kumbe unafurahia idea ya kumfurahisha mwanaume kingono. (hiki ni kitu cha mwanamke kujichunguza sana)

7; Ufundi kutoka kiumeni. (both science and art) mfano;
a) kitu gani kiguswe na kiguswe vipi, kwa nia njema mwanaume anaweza kuamua kugusa sehemu fulani ya mwili ikaishia kuwa turn off badala ya kuleta raha.

b) mwenza anatakiwa kujua personal preferences za mwenzake, si kila kitu kinafanya kazi kwa kila mtu. Better ask

c) dirty talks; kikawaida binadamu ukimsifia na akagundua unamsifia cha ukweli hufurahia, kwenye mapenzi hii inafanya mwanamke arelax, asiwe worried kama je huyu namfurahisha au ananivumilia tu? among of things vinatufanya tusienjoy mapenzi ni ile presha ya kutaka kufahamu kama tunaridhishana au lah, hizi fikra zinatutoaga kwenye reli.

8; Ovulation, Mahitaji ya mwili automatically hubadilika katika wakati huu. Sasa kwasababu kwa wanawake wengi vigezo 7 nilivyovianisha kabla havifikiwi, basi wengi husubiri kwa hamu kipindi hiki kwa kudhani ndio kipindi pekee cha kuenjoy mapenzi.

Mwanamke akiweza kutick box kadhaa kwa vipengele hivyo juu sexual pleasure na kukojoa vitakua her daily cup of tea/coffee.
Ulitoandka 15%ni ya ukweli na 85% ni ya uongo!!! Haraf mbna hujaweka Waz kuwa mwanamke akifkisha umr furan ndo anakuwa na hisia Kal za kimapenz ?? Na je una uhakika gan na unachoandka hiki ??
 
Ulitoandka 15%ni ya ukweli na 85% ni ya uongo!!! Haraf mbna hujaweka Waz kuwa mwanamke akifkisha umr furan ndo anakuwa na hisia Kal za kimapenz ?? Na je una uhakika gan na unachoandka hiki ??
Eenhe! labda kama una tatizo la kuelewa, kimsingi sijapinga hoja yako ila nimeongeza kuwa sio sababu ya pekee... hivyo nikaongeza na zangu ambazo ukizifanyia utafiti utagundua vigezo na masharti vikizingatiwa sex kwa mwanamke italeta matokeo yale yale kila siku/mara kwa mara.

Hizo asilimia umezipataje ikiwa hata bandiko lako limejifunga katika mtazamo mmoja wa kwamba sex ni kwa ajili ya kuzalisha tu? unapaswa kukubali kuwa mtazamo wako unaouita ni utafiti ni mtazamo finyu sana. Elewa kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyekupinga katika comments juu ya ulichokileta.
Since wewe si mwanamke unapaswa upanue mtazamo wako kwa kusoma na kufanya tafiti, huo uliochapisha hapo hauqualify kuitwa utafiti.

and i rest my case here, ciao.
 
Siku za hatari unajua kabisa mwili uko tayari, ni kama unaBehave bila ridhaa yako, mawazo mwili vinakupelekesha ni automatic mwili unajua. Siku zingine hata huwazii hayo mambo
 
Eenhe! labda kama una tatizo la kuelewa, kimsingi sijapinga hoja yako ila nimeongeza kuwa sio sababu ya pekee... hivyo nikaongeza na zangu ambazo ukizifanyia utafiti utagundua vigezo na masharti vikizingatiwa sex kwa mwanamke italeta matokeo yale yale kila siku/mara kwa mara.

Hizo asilimia umezipataje ikiwa hata bandiko lako limejifunga katika mtazamo mmoja wa kwamba sex ni kwa ajili ya kuzalisha tu? unapaswa kukubali kuwa mtazamo wako unaouita ni utafiti ni mtazamo finyu sana. Elewa kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyekupinga katika comments juu ya ulichokileta.
Since wewe si mwanamke unapaswa upanue mtazamo wako kwa kusoma na kufanya tafiti, huo uliochapisha hapo hauqualify kuitwa utafiti.

and i rest my case here, ciao.
Jaribu kuwa multipurpose mkuu: mim sjapinga moja kwa moja maon yako,tatzo hayana evidence za moja kwa moja, maana huwez ukapublish kitu bila reference yeyote. Jitahid Sana kuthibitisha vitu kwa reference za kueleweka!!!
 
Eenhe! labda kama una tatizo la kuelewa, kimsingi sijapinga hoja yako ila nimeongeza kuwa sio sababu ya pekee... hivyo nikaongeza na zangu ambazo ukizifanyia utafiti utagundua vigezo na masharti vikizingatiwa sex kwa mwanamke italeta matokeo yale yale kila siku/mara kwa mara.

Hizo asilimia umezipataje ikiwa hata bandiko lako limejifunga katika mtazamo mmoja wa kwamba sex ni kwa ajili ya kuzalisha tu? unapaswa kukubali kuwa mtazamo wako unaouita ni utafiti ni mtazamo finyu sana. Elewa kuwa hakuna mtu hata mmoja aliyekupinga katika comments juu ya ulichokileta.
Since wewe si mwanamke unapaswa upanue mtazamo wako kwa kusoma na kufanya tafiti, huo uliochapisha hapo hauqualify kuitwa utafiti.

and i rest my case here, ciao.
Pia angalia comment ya Dawlia hapo chin ya comment yako,utajifunza kitu,yeye kaeleza haraf kajirefference yeye mwenyewe,na ndo matakwa ya uzi.
 
Siku za hatari unajua kabisa mwili uko tayari, ni kama unaBehave bila ridhaa yako, mawazo mwili vinakupelekesha ni automatic mwili unajua. Siku zingine hata huwazii hayo mambo
Ahsante kwa maoni mazur mama. Kama hutojali mwelimishe na Bint Kiziw
 
Mwanamke huwa anapata hamu kwa kipindi maalum, sio kila siku, yaani yupo kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!

Lakini ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na hamu nyingi sana na ukimfanya atapata utamu wa kutosha.

Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge:
Kweli mkuu. Hata mama yako alikuwa hivi kipindi fulani. Nilipogundua hilo nikawa nasubiri akiwa katika kipindi cha period.
 
Kweli mkuu. Hata mama yako alikuwa hivi kipindi fulani. Nilipogundua hilo nikawa nasubiri akiwa katika kipindi cha period.
Acha utan!! Changia maada ili watu wajifunze
 
Kuna wanawake wana low sex drive wengine high sex drive haonwenye low sex drive itakuwa wakati wa joto ndo hamu zinakuwa nyingi lakn hawa wenye high sex drive wenyewe kila siku hamu zipo na wakati wa Joto ndo hamu zinazidi zaidi.
Acha kudanganya
 
Back
Top Bottom